Wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania,Wakimsikiliza kwa makini mkuu wa Kitengo cha wateja wakubwa wa ...
Wanachama
wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania,Wakimsikiliza kwa
makini mkuu wa Kitengo cha wateja wakubwa wa Orbit Security ambao ni
washauri wakuu wa maswala ya uuzaji wa hisa za Vodacom Tanzania
PLC, Godfrey Gabriel alipokuwa akitoa elimu juu ya ununuaji wa hisa za
kampuni hiyo jana Morogoro.
Baadhi
ya wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS)
Tanzania, Wakisoma mkutasari wa matarajio wa hisa za Vodacom Tanzania
PLC, Walipokuwa wakipatiwa elimu ya ununuaji hisa za kampuni hiyo na
mawakala wa uwekezaji wa Orbit Security ambao ni washauri wakuu wa
maswala ya hisa za Vodacom Tanzania PLC jana mkoani Morogoro.
Mkuu
wa Kitengo cha wateja wakubwa wa kampuni ya uwakala wa uwezeshaji ya
Orbit Security ambao ni washauri wakuu wa maswala ya uuzaji hisa za
Vodacom Tanzania PLC Godfrey Gabriel (kushoto) akimsikiliza mmoja wa
wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania, Gebha
Nyoni aliyekuwa akiuliza swali juu ya uuzaji wa hisa za Vodacom baada
ya kupata elimu ya ununuaji wa hisa wakati wa semina ya Utawala bora
kwa viongozi wa SACCOS iliyofanyika mkoani Morogoro jana.
Mmoja
wa washiriki wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania
,wakionyeshwa kipengele kilichopo katika mkutasari wa matarajio wa hisa
za Vodacom Tanzania PLC na Mkuu wa Kitengo cha wateja wakubwa wa
kampuni ya uwakala ya uwezeshaji ya Orbit Security ambao ni washauri
wakuu wa maswala ya uuzaji wa hisa za Vodacom Tanzania PLC, Godfrey
Gabriel (kushoto)wakati wa kutoa elimu juu ya ununuaji wa hisa za
kampuni hiyo jana Morogoro.
Baadhi
ya wanachama wa Muungano wa Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania
,wakisoma fomu za kununua hisa za Vodacom Tanzania PLC ,wakati
walipokuwa wakipewa elimu juu ya ununuaji wa hisa za kampuni hiyo na
mawakala wa kampuni ya uwekezaji ya Orbit Security ambao ni washauri
wakuu wa kampuni hiyo maswala ya hisa.
Mkurugenzi
wa uendeshaji wa kampuni ya uwakala ya uwekezaji ya Orbit Security
ambao ni washauri wakuu wa Vodacom Tanzania PLC kuhusiana na maswala
ya uuzaji hisa, Juventus Simon akiwaelekeza wanachama wa Muungano wa
Vyama vya Ushirika (SACCOS) Tanzania jinsi ya kujaza fomu za kununua
hisa za Vodacom wakati wa semina maalum ya kununua hisa za kampuni hiyo
iliyofanyika jana Morogoro.
COMMENTS