ZOEZI LA UBOMOAJI WA MAJENGO YALIYOMO KATIKA HIFADHI YA RELI KUENDELEA NCHINI KOTE

 Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) imesema zoezi la ubomoaji wa majengo yaliyomo katika hifadhi ya reli linaloendelea nchi...

 Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) imesema zoezi la ubomoaji wa majengo yaliyomo katika hifadhi ya reli linaloendelea nchini limezingatia  taratibu na sheria za uendeshaji wa reli na kwamba matangazo ya notisi ya kuwataarifu waanchi waliovamiwa hifadhi hizo zilizotolewa mapema ili wananchi hao waweze kuhama.

akiongea leo Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi mtendaji RAHCO Bw. Massanja Kadagosi amesema Ubomoaji huo unaoendelea haupo kwa ajili ya kumuonea mtu bali upo kwa ajili ya kulinda miundombinu ya reli ikiwemo pia kujali usalama wa wananchi waliojenga kwenye hifadhi ya reli. ‘’Sheria ya Reli Na.4 ya mwaka 2002,kifungu cha 57 (2) kinabainisha kuwa mtu yoyote haruhusiwi kufanya ujenzi wowote katika hifadhi ya njia ya reli pasipo kibali cha RAHCO, kwani sheria hii inatamka wazi  kuwa mtu yeyote harusiwi kufanya ujenzi wowote katika eneo lilopangwa na mamlaka husika”
Madagosi amesema kabla ya kuanza kuzibomoa nyumba hizo walitoa notisi mbali mbali ikiwemo tangazo la kuwataarifu wavamizi hao kupitia kwenye vyombo vya habari vya tarehe 25/4/2016, pamoja na kutoa barua kwa mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala ya kuwajulisha wananchi hao kuanza kuhama kabla yauvunjaji kuanza.

Mbali na Barua hizo, amesema Bw. Kadagosi  tarehe 9 hadi tarehe 10 /2/2017 waliziweka nyumba alama ya X kwa wavamizi hao, analosema kuwa watu wanaosema wananchi hao wanaovunjiwa hakuwapata taarifa za kutakiwa kuvunjiwa nyumba si za kweli kwani taarifa zilitolewa. 

Bw. Kadagosi amewataka wananchi waliovamia maeneo hayo kuhama mara moja kwani kukaa kwenye maeneo hayo sio tu ni kosa la jinai bali pia linahatarisha usalama wao.
Mkurugenzi mtendaji  Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) Bw. Masanja Kadogosa akizungumza na waandishi  habari leo jijini Dar es Salaam kuzungumzia  zoezi la ubomoji wa nyumba zilizopo kwenye hifadhi ya reli
Afisa Uhusiano wa RAHCO,Catherine Moshi  akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliokuwepo kwenye mkutano huo leo jijini Dar es Salaam
Waandishi wa habari na watendaji wa RAHCO wakimsikiliza Mkurugenzi mtendaji  Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO), Masanja Kadogosa.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: ZOEZI LA UBOMOAJI WA MAJENGO YALIYOMO KATIKA HIFADHI YA RELI KUENDELEA NCHINI KOTE
ZOEZI LA UBOMOAJI WA MAJENGO YALIYOMO KATIKA HIFADHI YA RELI KUENDELEA NCHINI KOTE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnRP81DRbn3zJa8Bv7OFWaT7GgouoLeya3xmonUPwZsfaCGPqb4Cetj0SedQRpSRp6_K90Yz56B1FNKL2cHsQbAqYjVknl2ZTFf4tqimQCotlnUR5UHogkG9iLkdQEYBsTBx_HopdMF2Y/s640/unnamed.jpg1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnRP81DRbn3zJa8Bv7OFWaT7GgouoLeya3xmonUPwZsfaCGPqb4Cetj0SedQRpSRp6_K90Yz56B1FNKL2cHsQbAqYjVknl2ZTFf4tqimQCotlnUR5UHogkG9iLkdQEYBsTBx_HopdMF2Y/s72-c/unnamed.jpg1.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/zoezi-la-ubomoaji-wa-majengo-yaliyomo.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/zoezi-la-ubomoaji-wa-majengo-yaliyomo.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy