JAFO AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUCHAPA KAZI KWA BIDII

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Selemani Jafo amewataka watumishi katika halmashauri zot...

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Selemani Jafo amewataka watumishi katika halmashauri zote nchini kuacha kufanya kazi kwa mazoea badala yake wawe wabunifu katika kutatua changamoto zinazowakabili wananchi.

Katika ziara yake mkoani Arusha katika halmashauri za Meru,Longido na Monduli alisema serikali imeshatoa fedha za Mfuko wa Pamoja wa Afya(Basket Fund) katika halmashauri hizo hivyo kukosekana kwa madawa na vifaa tiba sio jambo linaloweza kuvumilika.

Alisema miradi yote ambayo fedha zimeshaletwa na serikali kuu kwenye halmashauri itekelezwe mara moja ili iweze kuwahudumia wananchi.

Naibu Waziri Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Selemani Jafo akizungumza jambo alipotembelea eneo linapojengwa soko la kisasa la mifugo katika Kijiji cha Orendeke Kata ya Namanga mkoa wa Arusha. Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Longido, Godfrey Chongolo. 
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe.  Selemani Jafo akizungumza na wananchi wa Kata ya Makuyuni wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha baada ya kukagua ujenzi wa Kituo cha Afya, serikali imetenga kiasi cha Sh 700 milioni kwaajili ya upanuzi wa Kituo cha Afya Mto wa Mbu. 

Muuguzi katika Kituo cha Afya cha Usa River, Emiliana Sulle (kushoto) na Mganga Mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Meru mkoa wa Arusha, Bonifas Ukio (kulia), Mhe. Selemani Jafo kumpima uzito mtoto ili kujua maendeleo yake. 
 
Mkuu wa wilaya ya Longido mkoa wa Arusha, Godfrey Chongolo akizungumza wakati wa zira ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe.  Selemani Jafo (kulia)anayesikiliza kwa makini na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa halamshauri ya Longido,Juma Mhina. 
 
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Selemani Jafo (kushoto)akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Walimu mkoa wa Arusha, Lootha Laizer.
 
Baadhi ya Madiwani na watumishi wa halmashauri ya Longido wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Suleiman Jaffo.
 
Baadhi ya Madiwani na watumishi wa halmashauri ya Longido wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Suleiman Jaffo.
 
Muuguzi katika Kituo cha Afya cha Usa River,Emiliana Sulle (kushoto) na Mganga Mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Meru mkoa wa Arusha,Bonifas Ukio (kulia) Mhe.  Selemani Jafo kumpima uzito mtoto ili kujua maendeleo yake. 
 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Mhe.  Selemani Jafo (kulia) akiagana na Mbunge wa jimbo la Monduli, Julius Kalanga baada ya kumaliza ziara yake mkoani Arusha.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: JAFO AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUCHAPA KAZI KWA BIDII
JAFO AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUCHAPA KAZI KWA BIDII
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlhfRufy6zr0_eWk1mvucMKRNjWdOFo_TlAQi-JN7YeQkTJxpRoJ8qGg9hwBkA9Lt0qPb4X9N6Xc7dUOISjHvoce_l3-bAlJA7BAArJPo-FPNf8actBEcVL6wWoyC44glSLJpwv64zZsYl/s640/5.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlhfRufy6zr0_eWk1mvucMKRNjWdOFo_TlAQi-JN7YeQkTJxpRoJ8qGg9hwBkA9Lt0qPb4X9N6Xc7dUOISjHvoce_l3-bAlJA7BAArJPo-FPNf8actBEcVL6wWoyC44glSLJpwv64zZsYl/s72-c/5.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/jafo-azitaka-halmashauri-nchini-kuchapa.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/jafo-azitaka-halmashauri-nchini-kuchapa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy