Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia jambo kati yake na Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye hos...
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia jambo kati yake na Waziri Mkuu
mstaafu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye hospitali ya mkoa wa
Dodoma ambako alikwenda kumjulia hali baba mzazi wa Mh. Pinda, Mzee
Xavery Kayanza Pinda Novemba 22, 2016. Kulia ni Paroko wa Kanisa Kuu
Katoliki la Dodoma, Padri Wisi Onesmo na wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa
wa Dodoma, Jordan Rugimbana.
Waziri
Mkuu, Kaasim Majaliwa akiongozana na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda
kuelekea wodini wakati alipokwenda kwenye hospitali ya mkoa wa Dodoma
kumjulia hali Mzee Xavery Kayanza Pinda ambaye ni baba mzazi wa Waziri
Mkuu Mstaafu Novemba 22, 2016. Mzee Pinda amelazwa kwenye hospitali hiyo
kwa matibabu.
Waziri
Mkuu, Kasim Majaliwa akiteta na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda
wakati alipokwenda kwenye hospitali ya mkoa wa Dodoma kumjulia hali Mzee
Xavery Kayanza Pinda ambaye ni baba mzazi wa Waziri Mkuu Mstaafu
Novemba 22, 2016. Mzee Pinda amelazwa kwenye hospitali hiyo kwa
matibabu.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo
Pinda wakati alipokwenda kwenye hospitali ya Mkoa wa Dodoma kumjulia
hali baba mzazi wa Mh. Pinda, Mzee Xavery Kayanza Pinda Novemba 22,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
COMMENTS