PPRA YAKABIDHI RIPOTI YA UKAKUZI KWENYE UNUNUZI WA UMMA MWAKA 2015/2016

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, akikabidhiwa Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha ...






Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, akikabidhiwa Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016 na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga. Makabidhiano yaliyofanyika Wizarani jijini Dar es Salaam, Septemba 30, 2016.
 


Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto kwa waziri wa Fedha na Mipango aliyekaa katikati), akifafanua jambo kabla ya kukabidhi Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto), akifafanua jambo kabla ya kukabidhi Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016. Kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA-Dkt. Laurent Shirima.
 
 
 

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, akizungumza baada ya akukabidhiwa nakala za Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016 na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (Kulia). Makabidhiano yamefanyika Wizarani Jijini Dar es Salaam, Septemba 30, 2016.
 
 

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto), akitoa taarifa aya ripoti hiyo mbele ya waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kwenye makao Makuu ya Mamlaka hayo, Jijini Dar es salaam, Septemba 30, 2016. Kulia kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Dkt. Laurent Shirima na kushoto kwake ni Wajumbe wa Bodi hiyo Dkt. Leonard Chamriho ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) na Dkt. Edmund Mndolwa.
 
 
 

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), wakimsikiliza Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango baada ya kupokea Ripoti ya Ukaguzi wa Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa fedha 2015/2016. Waziri Mpango aliwataka kufanya kazi kwa bidii ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano katika kukuza uchumi na kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 kwa kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma.
(Picha zote na Wizara ya Fedha na Mipango).

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: PPRA YAKABIDHI RIPOTI YA UKAKUZI KWENYE UNUNUZI WA UMMA MWAKA 2015/2016
PPRA YAKABIDHI RIPOTI YA UKAKUZI KWENYE UNUNUZI WA UMMA MWAKA 2015/2016
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWwk_ciY8XDvAbH2FPqq16CmLW9ITnvNmtPnx-KePRiMFnjMEmZH0hjLy3VZ0xX09YrKxIX3lkVzjnmlXL3hMgmd6eRVhN2P4PgAL1X9qX9LOWwCIbueb1-rrlz-_Fmm3HgwabeUzQuxti/s640/IMG_7783.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWwk_ciY8XDvAbH2FPqq16CmLW9ITnvNmtPnx-KePRiMFnjMEmZH0hjLy3VZ0xX09YrKxIX3lkVzjnmlXL3hMgmd6eRVhN2P4PgAL1X9qX9LOWwCIbueb1-rrlz-_Fmm3HgwabeUzQuxti/s72-c/IMG_7783.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2016/09/ppra-yakabidhi-ripoti-ya-ukakuzi-kwenye.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/09/ppra-yakabidhi-ripoti-ya-ukakuzi-kwenye.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy