Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda leo ameonyesha picha ya jengo kubwa la hospitali ya kinamama ambalo ujenzi wa...
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda leo ameonyesha picha ya
jengo kubwa la hospitali ya kinamama ambalo ujenzi wake tayari umeanza
kwa msaada kutoka Serikali ya Korea Kusini na linatarajiwa kuzinduliwa
na Rais Magufuli mwezi wa nne mwakani.
Jengo hilo litakalogharimu jumla ya shilingi Bilioni 8 na milioni 800. Litakuwa na uwezo kulaza wakinamama (wagonjwa) 160 kwa wakati mmoja na
litakuwa na chuo kwa ajili ya wanafunzi. Tayari Madaktari kutoka Korea
wamesha anzaa kutoa mafunzo ya magonjwa ya kinamama.
COMMENTS