Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua nembo mpya ya Tuzo za Rais kwa Wazalish...
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua nembo mpya ya Tuzo
za Rais kwa Wazalishaji bora wa viwanda
(PMAYA) "The President’s Manufacure of the Year" pamoja na Mwenyekiti wa Wenye Viwanda Tanzania,
(CTI) Dkt. Samwel Nyantahe, (wapili kulia), huku wakishuhudia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage, (kushoto) na
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Wenye
Viwanda nchini, LeodgarTenga kutoka CTI, katika Ukumbi wa Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam leo Mei 31, 2016.
Rais akitoa hotuba yake
Rais akifurahia jambo na wafanyabiashara mbalimbali baada ya kuzindua nembo hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Wenye
Viwanda nchini, Leodgar Tenga mara baada ya kumalizika kwa hafla hio ya utoaji
Tuzo za Rais
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja
na washindi mbalimbali waliopata tuzo za Rais kwa Wazalishaji bora wa viwanda
kwa mwaka 2015. (PICHA NA IKULU)
COMMENTS