TASWIRA ZA WASHINDI WA TUZO ZA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI ZA (EJAT) 2015 MLIMANI CITY DAR ES SALAAM

Jaji Mkuu wa EJAT 2015, Bi Valeria Msoka akionge kuwakaribisha wageni katika hafla hiyo. Baadhi ya majaji wa EJAT 2015 ...









Jaji Mkuu wa EJAT 2015, Bi Valeria Msoka akionge kuwakaribisha wageni katika hafla hiyo.
Baadhi ya majaji wa EJAT 2015


Wanne Star wakifanya yao katika hafla hiyo.

Meza kuu.









Majaji wa EJAT 2015 wakitambulishwa.

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Kajubi Mukajanga (kulia) akimtambulisha mgeni Rasmi, Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Bahame Tom Nyanduga katika hafla hiyo.

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Kajubi Mukajanga akimtambulisha mgeni Rasmi, Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Bahame Tom Nyanduga katika hafla hiyo.


Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Kajubi Mukajanga na mgeni Rasmi Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Bahame Tom Nyanduga wakiwa katika picha ya pamoja baada ya utambulisho katika hafla hiyo.

Washereheshaji Babie Kabae na Taji Liundi wakiwa katika hafla hiyo.








 Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Bahame Tom Nyanduga akiongea katika hafla hiyo.


Mwakilishi wa Benki ya NMB, Vicent Mnyanyika akimkabidhi moja wa washindi wa tuzo kutoka Zanzibar.

Mmoja wa majaji, Dkt Joyce Bazira Ntobi akimkabidhi mmoja wa washindi wa tuzo.








































Mwakilishi wa Kampuni ya Push Observer Jacqueline Materu akimkabidhi tuzo Mpigapicha Msaidizi wa Magazeti ya Dailynews, HabariLeo, Spotileo na HabariLeo Jumapili, Robert Okanda baada ya kuibuka mshindi wa Tuzo ya Mpiga picha Bora Magazeti mteule kwa magazeti wakati wa utoaji wa tuzo za Umahiri katika uandishi wa habari zilizoandaliwa na Baraza Habari Nchini (MCT) jijini Dar es Salaam 

Mpigapicha Msaidizi wa Magazeti ya Dailynews, HabariLeo, Spotileo na HabariLeo Jumapili, Robert Okanda, pia mmiliki wa blogs hii akiwa na tuzo ya ushindi wa Mpiga picha Bora wa Magazeti mteule wakati wa utoaji wa tuzo za Umahiri katika uandishi wa habari zilizoandaliwa na Baraza Habari Nchini (MCT) jijini Dar es Salaam 



Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Bahame Tom Nyanduga akimkabidhi mshindi wa jumla wa tuzo hizo mfano wa hundi ya shilingi milioni tatu  wakati wa utoaji wa tuzo za Umahiri katika uandishi wa habari zilizoandaliwa na Baraza Habari Nchini (MCT) jijini Dar es Salaam Aprili 29 2016. Kulia ni Rais MCT Jaji Mstaafu Thomas Mihayo. 




Bi Rose Haji Mwalimu akibubujikwa na machozi wakati wa kushomwa kwa historia yake ya utumishi katika tasnia ya habari uliosababisha kutambuliwa na kutunukiwa tuzo ya maisha ya mafanikio katika tasnia wakati wa utoaji wa tuzo hizo. 

Bi Rose Haji Mwalimu akiakisaidiwa na Mmoja wa waasisi wa TAMWA na Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Bi Badra Masoud (kushoto) baada ya kutangazwa ndiye mteule wa Tuzo ya Maisha katika tasnia ya habari uliosababisha kutambuliwa na kutunukiwa tuzo ya maisha ya mafanikio katika tasnia wakati wa utoaji wa tuzo hizo. 

Bi Rose Haji Mwalimu akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi baada ya kutwaa tuzo ya maisha ya mafanikio katika tasnia wakati wa utoaji wa tuzo hizo. 



Bi Rose Haji Mwalimu akiongea kumshukuru Mungu na waandaji kwa kumtambua na kumtunuku tuzo hiyo ya heshima kubwa kwa mafanikio katika katika hafla hiyo.  

Mgeni rasmi na meza kuu wakiwa katika picha ya pamoja na washindhi wa tuzo hizo.

Mpigapicha Msaidizi wa Magazeti ya Dailynews, HabariLeo, Spotileo na HabariLeo Jumapili, Robert Okanda, pia mmiliki wa Blogs hii akiwa katika picha ya pamoja na Bi Rose Haji Mwalimu mteule wa Tuzo ya Maisha ya Mafanikio katika Tasnia ya Habari wakati wa utoaji wa tuzo za Umahiri katika uandishi wa habari zilizoandaliwa na Baraza Habari Nchini (MCT) jijini Dar es Salaam. 













COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TASWIRA ZA WASHINDI WA TUZO ZA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI ZA (EJAT) 2015 MLIMANI CITY DAR ES SALAAM
TASWIRA ZA WASHINDI WA TUZO ZA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI ZA (EJAT) 2015 MLIMANI CITY DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPOqbF3CIpf1XAgRxpKSSai9Ym_uwasnN1rnGrikAOqnseizjtA8IB3vK6rPj4TAgYNlDDGKKe-96fcGsvocbF_gpbf-a6emndmA1aOH4nXgJcJNqY2jEJCRCKY6xWNrhmqrjse9e-d9k/s640/E+1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPOqbF3CIpf1XAgRxpKSSai9Ym_uwasnN1rnGrikAOqnseizjtA8IB3vK6rPj4TAgYNlDDGKKe-96fcGsvocbF_gpbf-a6emndmA1aOH4nXgJcJNqY2jEJCRCKY6xWNrhmqrjse9e-d9k/s72-c/E+1.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2016/04/taswira-za-washindi-wa-tuzo-za-umahiri.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/04/taswira-za-washindi-wa-tuzo-za-umahiri.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy