KUAGWA KWA MAKATIBU WAKUU WASTAAFU KATIKA WIZARA MBALIMBALI OKTOBA 9, 2015

Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliy...




Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bi. Rose Lugembe wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bw. Mohamed Muya wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Mhandisi Christopher Sayi wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Ummaaliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bw. Seth Kamuhanda wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bi. Anna Maembe wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akiwaongoza Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria kugonganisha glasi kama ishara ya kutakiana heri wa hafla ya kuwaaga Viongozi hao waandamizi wa Serikali. Hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza na waaandishi wa vyombo vya habari wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati waliokaa) akiwa katika picha na Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali wakifurahia jambo wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bi. Anna Maembe akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Patrick Makungu wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Makatibu Wakuu Wastaafu, Mhandisi Christopher Sayi (kushoto), na Prof. Patrick Makungu (kulia) wakiaagana mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Makatibu Wakuu Wastaafu, Mhandisi Christopher Sayi (kushoto) na Ramadhani Kijjah wakifurahia jambo mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
   Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Wakuu Wastaafu na waliopo madarakani mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
(PICHA NA ISMAIL NGAYONGA-MAELEZO)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KUAGWA KWA MAKATIBU WAKUU WASTAAFU KATIKA WIZARA MBALIMBALI OKTOBA 9, 2015
KUAGWA KWA MAKATIBU WAKUU WASTAAFU KATIKA WIZARA MBALIMBALI OKTOBA 9, 2015
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIOfcEFixAS8LHisL4CZyRTcJHEGfypsoiWXR3DXXoXERprCoNlCs3sP1CMrB9keUu9g9nTVCfxoDYdhiv5a_x_klMWWPR6SXOvffxTQfYmjT1gX5LUlpq-TwURBZpRJYXtuMMWPpEb3M/s640/1..JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIOfcEFixAS8LHisL4CZyRTcJHEGfypsoiWXR3DXXoXERprCoNlCs3sP1CMrB9keUu9g9nTVCfxoDYdhiv5a_x_klMWWPR6SXOvffxTQfYmjT1gX5LUlpq-TwURBZpRJYXtuMMWPpEb3M/s72-c/1..JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2015/10/kuagwa-kwa-makatibu-wakuu-wastaafu.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2015/10/kuagwa-kwa-makatibu-wakuu-wastaafu.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy