Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Mh. Samia Suluhu akiwasili na kuwapungia mkono wananchi katika viw...
Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Mh. Samia Suluhu akiwasili na kuwapungia mkono wananchi katika viwanja vya Jangwani huko Dodoma. Kulia ni Mjumbe wa NEC, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Mh. Adam Kimbisa. |
Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa hadhara ulofanyika Viwanja vya Chang'ombe mjini Dodoma.
Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa hadhara ulofanyika Viwanja vya Chang'ombe mjini Dodoma.
Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa hadhara ulofanyika Viwanja vya Chang'ombe mjini Dodoma.
Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Mh. Samia Suluhu akipokea kadi kutoka kwa aliyekuwa mgombea wa udiwani wa Chadema Kata ya Mlowa Barabarani baada ya kujiunga na chama hicho.
Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa hadhara ulofanyika Viwanja vya Chang'ombe mjini Dodoma.
Mgombea ubunge Jimbo la Mtera, Livingstone Lusinde akizungumza mkutano wa kampeni viwanja vya Chang'ombe Dodoma.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mh.Samia Suluhu viwanja vya Chang'ombe.
Bi. Samia Suluhu kulia akimtambulisha mgombea ubunge wa jimbo la Mtera, Livingstone Lusinde jimboni humo.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mh. Samia Suluhu Jimbo la Kibakwe.
Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Mh. Samia Suluhu akimtambulisha mgombea ubunge Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene wakati wa mkutano huo. Kushoto ni mke wa mgombea huyo, Mariam Simbachawene. Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mh. Samia Suluhu Jimbo la Kibakwe.
Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Dodoma Mjini, Peter Chiuyo akizungumza mbele ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara ulofanyika Viwanja vya Chang'ombe mjini Dodoma.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mh. Samia Suluhu Jimbo la Kibakwe. Baadhi ya wanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa wamefurika katika mkutano wa hadhara ulofanyika Viwanja vya Chang'ombe mjini Dodoma.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mh. Samia Suluhu Jimbo la Mtera.
COMMENTS