Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, akiwakiliosha vyama vinavyounda Umoja wa Katiba...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kupitia CHADEMA, akiwakiliosha vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi,
UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akipokea
saluti kutoka kwa Askari Polisi, wakati alipowasili kwa Helkopta, kwenye Uwanja
mdogo wa ndege Nguruka Kati, Jimbo la Kigoma Kusini, kulikofanyika Mkutano wa
Kampeni za Mgombea huyo, leo Septemba 4, 2015 ambapo pia alitumia fursa hiyo,
kumnadi mgombea wa jimbo hilo kupitia NCCR-Mageuzi, akiwakilisha UKAWA, Mh.
David Kafulila
Mh. Lowassa, akipokelewa na Mgombea Ubnunge jimbo la Kigoma Kusini Mh. David Kafulila, alipowasili Nguruka, mkoani humo
Mh. Lowassa, akisalimiaana na mamia ya wakazi wa mji wa Nguruka waliohudhuria mkutano wake wa kampeni
Wananchi wakionyesha alama inayotumiwa
na UKAWA hivi sa sa ya "Mabadiliko" wakati wa mkutano wa kampeni
uliohutubiwa na Mgombea wake Mh. Edward Lowassa, na Mwenyekiti wa
CHADEMA, Freeman Mbowe huko Nguruka
Mh. Lowassa, akimnadi Mh. David Kafulila kwenye mkutano huo
Kijana akiwa na bango lenye ujumbe. (Picha zote na Othman Michuzi)
COMMENTS