Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad (kushoto), akimkabidhidhi Ripoti yake ya ukaguzi wa hesabu z...
|
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
Profesa Musa Assad (kushoto), akimkabidhidhi Ripoti yake ya ukaguzi wa hesabu za serikali, Rais Jakaya Kikwete Ikulu
jijini Dar es Salaam
leo Ijumaa Machi 27, 2015
|
|
Rais
akiifungua ripoti hiyo, huku katibu mkuu kiongozi, Balozi Ombeni Sefue
(kulia) na mdhibiti na mkaguzi mkuu wa serikali, Profesa Asad,
wakishuhudia. |
|
Rais akisikiliza maelezo ya Profesa Assad, kuhusu ukaguzi wake |
|
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Assad. Wa tatu kulia mstari wa mbele ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue. (Picha na Freddy Maro) |
COMMENTS