Injini ya treni (kichwa cha treni) kikiwa na lori kwenye barabara ya Kawawa Dar es Salaam baada ya kugongwa na lori hilo jirani na m...
|
Injini
ya treni (kichwa cha treni) kikiwa na lori kwenye barabara ya Kawawa Dar es
Salaam baada ya kugongwa na lori hilo jirani na machinga complex, Ijumaa Machi 27, 2015 saa 10;55 asubuhi. Dereva wa lori anasadikiwa kukimbia baada ya kusababisha ajali hiyo kutokana na mwendo kasi. Kazi ya kuondoa kichwa hicho kilichokuwa kikikokotwa na kingine wakati ajali ikitokea kilisababisha kipande cha barabara ya Kawawa inapokutana na ya Nyerere kutokea makutano ya Shaurimoyo ilifungwa na kusababisha usumbufu mkubwa. |
Winchi ya Shirika la Reli Tanzania (TRL), likijiandaa kuondoka baada ya kukinyanyua kichwa hicho cha treni. (Imeandaliwa na Robert Okanda)
COMMENTS