Bill Gates retakes World’s Richest title from Carlos Slim Bill Gates ndiyo tajiri namba moja tena duniani. Tajiri huyo m...
Bill Gates retakes World’s Richest title from Carlos Slim
Bill Gates ndiyo tajiri namba moja tena duniani. |
Tajiri huyo mwenye
umri wa miaka 57 na Mwasis wa Redmond, Washington-based Microsoft
Corp. (MSFT) amechukuwa nafasi hiyo baada ya kumpiku tajiri mwingine Raia wa
Mexico na Mwekezaji mkubwa Carlos Slim. Kwa mujibu wa waraka wa mabilionea wa
Bloomberg, utengenezaji wa programme za komputa umeongezeka kwa kiwango cha juu
mara tano zaidi. Ni kwa mara kwanza sasa Gates kuishikilia nafasi hiyo
toka mwaka 2007. Utajiri wake kwa sasa unapindukia dola za Kimarekani Bilioni
72.7 zaidi kwa asilimia 16 dhidi ya Slim. Slim anayemiliki kampuni kubwa ya
simu za mikononi ya Kimarekani inayitwa Movil (AMXL) SAB, imeshuka kwa asilimia
14 mwaka huu baada ya serikali ya Mexico kupitisha mswada bungeni ambao kwa
kiasi umeathiri mapato ya kampuni yake.
Kupitishwa kwa mswada huo
kumesababisha dola za Kimarekani bilioni 3 kutopatikana kwa masoko ya kampuni
hiyo kubwa ya simu za mkononi, kwa Tajiri Slim mwenye umri wa miaka 73 kwa
mapato yake ya mwaka.
“When they’re talking about
reform in a country that’s generally poor, and the guy shows up No. 1 on the
list -- not a good thing,” said Greg Lesko, managing director at New York-based
Deltec Asset Management LLC, which oversees $750 million and has an
“underweight” position in Slim’s flagship company.
“He’s
had a pretty good monopoly situation in Mexico, and the Mexican cell phone user
has been paying more than he should. We applaud it for the country.
Iliihitimisha sehemu ya taarifa hiyo.
BILL GATES MMAREKANI NA TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI |
for more information cheki na Businesslink Tz
COMMENTS