DKT. MAGUFULI APOKEA SALAMU ZA PONGEZI TOKA KWA RAIS WA GUINE BISSAU, MHE. BENJAMIN MKAPA RAIS MSTAAFU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Magufuli akipokea barua kutoka kwa Jenarali Omar Embalo mjumbe M...




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Magufuli akipokea barua kutoka kwa Jenarali Omar Embalo mjumbe Maalum wa Rais wa Guinea Bissau, Jose Mario Vaz Ikulu jijini Dar es Salaam leo Februari 25, 2016. Pamoja na mambo mengine, Rais wa Guine Bissau amempongeza Dkt. Magufuli.
 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Magufuli akizungumza na Jenerali Omar Embalo mjumbe Maalum wa Rais wa Guinea Bissau Jose Mario Vaz Ikulu jijini Dar es Salaam Februari 25, 2016. Pamoja na mambo mengine Mjumbe huyo alileta salamu za pongezi kutoka kwa Rais wa Guinea Bisau.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Magufuli akiagana na Jenerali Omar Embalo mjumbe Maalum wa Rais wa Guinea Bissau Jose Mario Vaz Ikulu jijini Dar es Salaam


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Magufuli akizungumza na Rais mstaafu Benjamin Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam, Februari 25, 2016. Mkutano huu unakuja siku chache baada ya Rais kukutana na Rais mstaafu Jakaya Kikwete hapo hapo Ikulu.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mhe. Benjamin Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha na Ikulu)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: DKT. MAGUFULI APOKEA SALAMU ZA PONGEZI TOKA KWA RAIS WA GUINE BISSAU, MHE. BENJAMIN MKAPA RAIS MSTAAFU
DKT. MAGUFULI APOKEA SALAMU ZA PONGEZI TOKA KWA RAIS WA GUINE BISSAU, MHE. BENJAMIN MKAPA RAIS MSTAAFU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMFhDRIn7WTcHasgkkliTbxnpRaiEGJGEzwNAxlxS3V4O0cy3jo0EWLtc9bzf0-JugEs7VkyaVjp0fbMGYghwjVH6h6ViIDzMZYSziQOH_5WmmBiU0BQBmL-mtwlShNMJUucac7WLj2kbd/s640/7b43ac9e-5731-47e8-8a95-8052a96d306e.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMFhDRIn7WTcHasgkkliTbxnpRaiEGJGEzwNAxlxS3V4O0cy3jo0EWLtc9bzf0-JugEs7VkyaVjp0fbMGYghwjVH6h6ViIDzMZYSziQOH_5WmmBiU0BQBmL-mtwlShNMJUucac7WLj2kbd/s72-c/7b43ac9e-5731-47e8-8a95-8052a96d306e.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2016/02/dkt-magufuli-apokea-salamu-za-pongezi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/02/dkt-magufuli-apokea-salamu-za-pongezi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy