WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONYESHO YA NANE NANE MBEYA. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akibeba boga kutoka kijiji cha Laela mk...
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA MAONYESHO YA
NANE NANE MBEYA.
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akibeba boga kutoka kijiji cha Laela mkoani
Rukwa katika maonyesho ya Nane nane alipofungua maonesho hayo, katika uwanja wa maonyesho ya
wakulima wa John Mwakangale mjini Mbeya Agosti 2, 2014. Kulia ni Mkuu wa
mkoa wa Rukwa, Mhandisi Stella Manyanya na Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (kushoto).
|
|
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda kitazama mkungu wa ndizi ulioletwa katika maonyesho ya
nane nane Mbeya na Bosco Luambano (kulia) wa Kijiji cha Hanga wilayani Namtumbo
katika maonyesho kwenye viwanja vya John Mwakangale Agosti 2,
2014.
|
|
Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda akitazama mhogo kutoka kijiji cha Itunya Wilayani Mpanda
katika maonyesho ya nane nane aliyoyafungua kwenye viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya Agosti 2, 2014.
|
|
Wakulima
kutoka kijiji cha Itunya, Kata ya Kapalamsenga, Tarafa ya Karema wilayani
Mpanda wakiwa wamebeba shina la mhogo kutoka shamba moja kijijini kwao katika
maonyesho ya wakulima Nane nane yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda
kwenye viwanja vya John Mwakangale Mbeya Agosti 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
|
COMMENTS