HII NDO TIMU YA WATOTO WA MTAANI YA TANZANIA ILIYOTWAA KOMBE LA DUNI KATIKA MCHEZO WA SOKA WALIVYOREJEA NYUMBANI

TIMU YA WATOTO WA MTAANI YA TANZANIA YAREJEA NCHINI NA KOMBE LA DUNI KATIKA MCHEZO WA SOKA   Wachezaji wa timu ya watoto wa mitaan...

TIMU YA WATOTO WA MTAANI YA TANZANIA YAREJEA NCHINI NA KOMBE LA DUNI KATIKA MCHEZO WA SOKA

 Wachezaji wa timu ya watoto wa mitaani ya Tanzania ilyo nyakuwa ubingwa wa dunia katika mashindano yaliyofanyika nchini Brazil kwa kushirikisha timu za watoto wa mitaani, wakiwa wamebeba makombe waliyoyapa katika mashindano hayo.
 
 Mwenyekiti wa Timu ya watoto wa mitaani ya jijini Mwanza Alfat Mansoor (Dogo) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya timu hiyo kuwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana jijini Dar es Salaam.
 Mchezaji aliyesabibisha timu ya watoto wa mitaani kutoka Tanzania kuibuka mabingwa wa Dunia kwa kufunga magoli 3-1 dhidi ya Burundi Frank William (mwenye kofia nyekundu) akiwa na baadhi ya wachezaji wenzake mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Julius Nyerere juzi. Kushoto ni Hassan Jaffar, Emmanuel Amos, na Hassan Seleman.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Bi. Juliana Yassoda akiwa amebeba kombe la ubingwa dunia mara baada ya kuwapokea wachezaji wa timu ya watoto wa mitaani ya Tanzania iliyochukua ubingwa huo kwa kuifunga timu kutoka Burundi jumla ya magoli 3-0. Timu hiyo imewasili nchini jana majira ya saa 9:35 mchana na kulakiwa na uongozi wa Serikali na wadau mbalimbali wa soka. (Picha zote na Frank Shija, Afisa Mawasiliano Serikalini)


COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HII NDO TIMU YA WATOTO WA MTAANI YA TANZANIA ILIYOTWAA KOMBE LA DUNI KATIKA MCHEZO WA SOKA WALIVYOREJEA NYUMBANI
HII NDO TIMU YA WATOTO WA MTAANI YA TANZANIA ILIYOTWAA KOMBE LA DUNI KATIKA MCHEZO WA SOKA WALIVYOREJEA NYUMBANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgemgAxaa7X6tO8zIUsDMSpPgB5oAtxpQX8yGKUHwaBrvrFtnVvgp8vUt_0vGgO8x6R40_D9_KeHL_5i5cISwDqingCsoJ62elmiSrypr7m5HfsRhygbF9lhIWPmjZYDD3mU02Fx2PAvEbF/s1600/WTT4.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgemgAxaa7X6tO8zIUsDMSpPgB5oAtxpQX8yGKUHwaBrvrFtnVvgp8vUt_0vGgO8x6R40_D9_KeHL_5i5cISwDqingCsoJ62elmiSrypr7m5HfsRhygbF9lhIWPmjZYDD3mU02Fx2PAvEbF/s72-c/WTT4.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2014/04/hii-ndo-timu-ya-watoto-wa-mtaani-ya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2014/04/hii-ndo-timu-ya-watoto-wa-mtaani-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy