Pata kinanda bomba kwa bei maridhawa kabisa bofya hapo https://bit.ly/2JxQPqe Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za...
Pata kinanda bomba kwa bei maridhawa kabisa bofya hapo https://bit.ly/2JxQPqe |
Sehemu ya washiriki toka vyama vya wafanyakazi, asasi za kiraia makundi ya wanafunzi na vijana uliofanyika Tarehe 7 hadi 8 jijini Dar es Salaam wakifuatilia matukio wakati wa warsha iliyojadili maswala ya usawa katika ulipaji wa kodi na manufaa yake katika kuboresha huduma za umma.
Mmoja wa washiriki akitoa mchango wake katika warsha iliyojadili maswala ya usawa katika ulipaji wa kodi na manufaa yake katika kuboresha huduma za umma. |
Mmoja wa washiriki akitoa mchango wake katika warsha iliyojadili maswala ya usawa katika ulipaji wa kodi na manufaa yake katika kuboresha huduma za umma. |
Sehemu ya washiriki toka vyama vya wafanyakazi, asasi za kiraia makundi ya wanafunzi na vijana uliofanyika Tarehe 7 hadi 8 jijini Dar es Salaam wakifuatilia matukio wakati wa warsha hiyo.
|
Usawa Katika Ulipaji Wa Kodi Na Manufaa Yake Katika Kuboresha Huduma Za Umma by Anonymous zPUXs8aO on Scribd
COMMENTS