TIGO YAWAKABIDHI SIMU WASHINDI 84 WA PROMOSHENI YA NYAKA NYAKA BONUS

Mtalaam wa Usambazaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza (kulia) akimkabidhi mfanyabiashara wa Mbezi Beach, Michael Peter Ngwashi, zawadi ya si...



Mtalaam wa Usambazaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza (kulia) akimkabidhi mfanyabiashara wa Mbezi Beach, Michael Peter Ngwashi, zawadi ya simu ya kisasa aina ya Tecno R6 aliyoshinda katika promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus. Jumla ya washindi 240 wamejishindia smartphoni hizo baada ya kununua vifurushi vya intaneti kupitia *147*00#. Kushoto ni balozi wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus inayoendeshwa na kampuni ya Tigo, Meena Ali.


Mtalaam wa Usambazaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza (kulia) akimkabidhi mfanyabiashara wa Mbagala, Grace Gastory Mandai, zawadi ya simu ya kisasa aina ya Tecno R6 aliyoshinda katika promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus. Jumla ya washindi 240 wamejishindia smartphoni hizo baada ya kununua vifurushi vya intaneti kupitia *147*00#. Kushoto ni balozi wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus inayoendeshwa na kampuni ya Tigo, Meena Ali.


Mtalaam wa Usambazaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza (kulia) akimkabidhi mfanyabiashara wa Mbezi Beach, Mohammed Omar Sabuni, zawadi ya simu ya kisasa aina ya Tecno R6 aliyoshinda katika promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus. Jumla ya washindi 240 wamejishindia smartphoni hizo baada ya kununua vifurushi vya intaneti kupitia *147*00#. Kushoto ni balozi wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus inayoendeshwa na kampuni ya Tigo, Meena Ali. 





Balozi wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus inayoendeshwa na kampuni ya Tigo, Meena Ali (kushoto) akimkabidhi mfanyabiashara wa Vingunguti, Jasper Michael Kimei, zawadi ya simu ya 4G aina ya Tecno R6 aliyoshinda katika promosheni hiyo. Jumla ya washindi 240 wamejishindia smartphoni hizo baada ya kununua vifurushi vya intaneti kupitia *147*00#

  • Wateja 84 wajinyakulia simu janja za TECNO R6 na bonasi za data bure baada ya kununua bando za intaneti kupitia *147*00#

  • Zaidi ya simu 840 pamoja na bonasi za uhakika za intaneti bado zinashindaniwa!
Dar es Salaam, Machi 9, 2018 – Kampuni inayoongoza kwa mageuzi ya kidigitali ya Tigo Tanzania, leo imewazawadia washindi 84 wapya  wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus simu aina ya Tecno R6 zenye uwezo wa 4G.

Akikabidhi zawadi hizo kwa baadhi ya washindi katika hafla fupi iliyofanyika katika ofisi za Tigo jijini Dar es Salaam leo, Mtaalam wa usambazaji Bidhaa wa Tigo, Baraka Hamza alisema kuwa kufikia sasa promosheni hiyo imeibua washindi wa simu 240 kutoka sehemu mbalimbali za nchi.

‘Kila anayenunua bando la intaneti kuanzia  TZS 1,000 kupita *147*00# anapokea bonasi ya hadi 1GB intaneti bure papo kwa hapo kwa matumizi ya Facebook, WhatsApp, Instagram ama Twitter. Pia anaingizwa kwenye droo ya kushinda mojawapo ya simu zenye uwezo wa 4G aina ya TECNO R6 zinazoshindaniwa katika promosheni hii ya Nyaka Nyaka Bonus.’

‘Nina furaha kubwa kupokea simu hii kutoka Tigo, itakayoniwezesha kuwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki kwa kasi ya juu ya 4G,’ Jasper Dethuel Kimei, mfanyabiashara na mkaazi wa Vingunguti Dar es Salaam alisema baada ya kupokea zawadi yake ya simu.

“Tunawakaribisha wateja wote wa Tigo kuchangamkia fursa hii kwani baio tuna simu 840 zinazozubiri kunyakuliwa katika promosheni hii ya Nyaka Nyaka Bonus,’ alisema balozi wa promosheni hiyo, Meena Ali.

Kupitia promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus, Tigo itaongeza idadi ya watumiaji wa simu za kisasa pamoja na matumizi ya data nchini.


COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TIGO YAWAKABIDHI SIMU WASHINDI 84 WA PROMOSHENI YA NYAKA NYAKA BONUS
TIGO YAWAKABIDHI SIMU WASHINDI 84 WA PROMOSHENI YA NYAKA NYAKA BONUS
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8Tw4WAvQqxGCPQQzHnlnm6kR4KLfRBNMVIPH3XTN0g3llCVzg9hHV6r3BXtfOPgAS9pIMF82LJr_kn2_9_6VlmuPKmgSKP4A1btC6pMfp7ODP3dpHmeyc_wnsSNg-GTV7CV0BRLWgISE/s640/IMGM6870.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8Tw4WAvQqxGCPQQzHnlnm6kR4KLfRBNMVIPH3XTN0g3llCVzg9hHV6r3BXtfOPgAS9pIMF82LJr_kn2_9_6VlmuPKmgSKP4A1btC6pMfp7ODP3dpHmeyc_wnsSNg-GTV7CV0BRLWgISE/s72-c/IMGM6870.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2018/03/tigo-yawakabidhi-simu-washindi-84-wa.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2018/03/tigo-yawakabidhi-simu-washindi-84-wa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy