Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha 45 cha Mkutano w...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha 45 cha Mkutano wa
Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Juni 13, 2017
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki akijibu maswali mbalimbali
ya wabunge katika kikao cha 46 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo
Mjini Dodoma Juni 13, 2017.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dk Khamis Kigwangalla akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 46 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la
11 leo Mjini Dodoma Juni 13, 2017
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Mhe. Engineer Edwin Ngonyani akifuatilia jambo na Naibu Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dk Suzan Kolimba
hoja mbalimbali za wabunge katika kikao cha 46 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 13, 2017.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
Kazi,Ajira na Vijana Mhe. Anthony Mavunde akijibu maswali mbalimbali ya
wabunge katika kikao cha 46 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini
Dodoma Juni 13, 2017.
Waziri waNchiOfisiya Waziri
MkuuSera
,Bunge,Kazi,Vijana,AjiranaWatuwenyeUlemavuMhe.JenistaMhagamaakizungumzajambonaMbungewaMtamaMhe.NapeNnauyekatikakikao
cha 46 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Juni 13, 2017.
Mbunge wa Viti maalum (CCM)
Mhe. FatmaToufiq akiuliza swali katika kikao cha 46 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 13, 2017
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa
na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akiwa katika picha ya pamoja na wanakwaya wa Furahini
K.K.K.T kutoka Ilongero-Mijuhu, mkoani Singida kwenye viwanja vya Bungeni mjini Dodoma.
Mbungewa Viti maalum (CCM)
Mhe. Ritta Kabati akiuliza swali katika kikao cha 46 cha Mkutanowa Saba wa
Bunge la 11 leoMjini Dodoma Juni 13, 2017.
COMMENTS