Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Et...
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt.
Seleshi Bekele anayaongoza ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo
iliyopo nchini kusaidia mchakato wa ujenzi wa Dam (bwawa la kuzalisha
umeme) la Steigler’s Gorge Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 28,
2017. (Picha na Ikulu)
Katibu
Mkuu kiongozi Balozi John Kijazi (kulia) akiongea na Waziri wa Maji,
Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt. Ing Seleshi Bekele anayaongoza
ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo iliyopo nchini kusaidia
mchakato wa ujenzi wa Dam (bwawa la kuzalisha umeme) la Steigler’s
Gorge kabla ya kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana
mikono na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt. Seleshi
Bekele baada ya kupata picha ya pamoja na ujumbe wake kutoka kwa Waziri
Mkuu wa nchi hiyo iliyopo nchini kusaidia mchakato wa ujenzi wa Dam
(bwawa la kuzalisha umeme) la Steigler’s Gorge pamoja na jopo la
wataalamu wa Tanzania wanaosimamia mradi huo Ikulu jijini Dar es salaam
leo Juni 28, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika
picha ya pamoja na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt.
Seleshi Bekele na ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo iliyopo
nchini kusaidia mchakato wa ujenzi wa Dam (bwawa la kuzalisha umeme) la
Steigler’s Gorge pamoja na jopo la wataalamu wa Tanzania wanaosimamia
mradi huo Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt. Seleshi Bekele
na ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo iliyopo nchini kusaidia
mchakato wa ujenzi wa Dam (bwawa la kuzalisha umeme) la Steigler’s
Gorge Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Wajumbe wa Kamati mbili alizoziteua za Uchunguzi wa Mchanga wa
Madini (Makinikia) Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 28, 2017.
PICHA NA IKULU
COMMENTS