Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kulia) wakati akikagua...
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Spika wa
Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kulia) wakati akikagua kikosi cha
timu ya netball ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya
timu ya netball ya Bunge la Wawakilishi Zanzibar, katika mchezo
uliochezwa leo katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
Mchezaji
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwenye jezi ya rangi ya
bluu bahari, akifunga goli dhidi ya timu ya Bunge la Wawakilishi
Zanzibar, katika mchezo wa netball uliochezwa leo katika uwanja wa
Jamhuri Mjini Dodoma.
COMMENTS