Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Mahmoud Thabi Kombo akipata maelezo kutoka kwa Dkt. Alona Roucher kuhusu matatizo ya moyo yanayomka...
Waziri
wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Mahmoud Thabi Kombo akipata maelezo kutoka kwa Dkt. Alona
Roucher kuhusu matatizo ya moyo yanayomkabili Muslim Muhd Ali kutoka
mtaa wa Jangombe ambae ni mmoja kati ya watoto watakaopelekwa Israel kwa
matibabu.
Waziri
wa Afya, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na madaktari wa maradhi ya
moyo kutoka Israel ambao wapo nchini kuwafunyia uchunguzi watoto wenye
maradhi hayo ambao baadhi watapelekwa Israel kufanyiwa upasuaji.
Dkt.
Yifat Brosh kutoka Shirika la Save a Child Heart la Israel akimfanyia
vipimo mmoja ya watoto wanaosumbuliwa na maradhi ya moyo katika
Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
Baadhi
ya wazazi wakiwa Hospitali Kuu ya Mnazimmoja wakisubiri zamu za
kuwapeleka watoto wao kufanyiwa uchunguzi na madaktari bingwa wa moyo
kutoka nchini Israel. (Picha zote na Makame Shenga-Maelezo).
COMMENTS