Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim, akimtunuku muhitimu wa Kozi ya Digrii ya U...
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katika pozi mara baada ya kuhitimu
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya HKMU, John Ulanga. |
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim akigana na Mke wa Mwasisi wa HKMU, Mama Kokushubira Kairuki. |
Muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) Mwanaidi Nyalukunyo akiwa katika pozi
Muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) Mwanaidi Nyalukunyo akiwa na tabasamu
Baadhi ya wahitimu wa Kozi ya Uuguzi wakila Kiapo
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim, akimtunuku
muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) Dar es Salaam, Beatrice Mugula ambaye ni Mkuu wa Idara
Ustawi wa Jamii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Dkt. Salim Ahmed Salim, akimkabidhi cheti
muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of
Social Work) Beatrice Mugula ambae ni Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
Beatrice Mugula, akiwapa mikono baadhi
ya viongozi waliopo meza kuu mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya
Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akivaa kofi yake
mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii
(Master of
Social Work)
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam, Beatrice Mugula (wa
pili kulia) akiwa na wenzake akipiga makofi mara baada ya kuhitimu Kozi
ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work)
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katika picha
ya pamoja mara baada ya kuhitimu Kozi ya Digrii ya Umahiri ya Ustawi wa
jamii (Master of Social Work) katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki
Mkuu wa Idara Ustawi wa Jamii
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Beatrice Mugula akiwa katiki pozi na muhitimu mwenzake wa fani hiyo, Mwanaidi Nyalukunyo
Muhitimu wa Kozi ya Digrii ya Umahiri
ya Ustawi wa jamii (Master of Social Work) Mwanaidi Nyalukunyo akiwa
katika picha ya pamoja na familia yake
COMMENTS