Mawaziri wa awamu ya tatu, Basili Mramba (aliyeketi) na Daniel Yona akipanda kwenye gari baada ya mahakama ya Kisutu kuwahukumu miaka...
Mawaziri wa awamu ya tatu, Basili Mramba (aliyeketi) na Daniel Yona akipanda kwenye gari baada ya mahakama ya Kisutu kuwahukumu miaka mitatu jela Dar es Salaam leo. |
Mawaziri wa awamu ya tatu, Basili Mramba (kushoto) na Daniel Yona baada ya kuhumiwa kwenye makama ya Kisutu Dar es Salaam leo. |
Gray Mgonja (wa pili kulia) akipongezwa baada ya kuachiwa huru. |
MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani na
kuwahukumu kifungo cha miaka 3 kila mmoja jela aliyekuwa Waziri wa
zamani wa Wizara ya Fedha, Basil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati
na
Madini, Daniel Yona huku ikimwachia huru Katibu Mkuu Wizara ya Fedha,
Gray
Mgonja walikuwa wanakabiliwa na mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka
na kuisababishia serikali hasara ya Shilingi bilioni 11.7.
Mgonja
amechiwa huru baada ya Mahakama hiyo kushindwa kumtia hatiani. Mbali na
kifungo hicho cha miaka 3 jela pia Mramba na Yona wanatakiwa kulipa
faini ya shilingi mioni 5 kila mmoja.
COMMENTS