Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema na meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi katika kata...
|
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema na meya
wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi katika kata ya Longuo mjini Moshi. |
|
Ofisi mpya ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Longuo B. |
|
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema taifa na meya wa manispaa ya Moshi, Jafary Michael akikata utepe kufungua ofisi mpya ya kata ya Longuo B. |
|
Meya Michael akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kufungua ofisi ya kata ya Chadema. |
|
Katibu wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro Basil Lema akitia saini katika kitabu cha wageni wakati wa ufunguzi wa ofisi ya Kata ya Longuo B. |
|
Diwani wa kata ya Longuo B, Ray Mboya akitia saini katika kitabu hicho. |
|
Baadhi ya makada wa Chadema manispaa ya Moshi wakishuhudia zoezi hilo. |
|
Ofisi mpya ya Chadema kata ya, Longuo Manispaa ya Moshi ikafunguliwa rasmi.
(Na Dixon Busagaga wa globu ya Jamii kanda ya Kaskazini.) |
COMMENTS