LAKE GAS WAZINDUA BIDHAA MPYA, NI YA KIPEKEE NA IMEZINGATIA USALAMA KWA JAMII YOTE . Kamishna Msaidizi wa Nishati katika Wizara ya Nishat...
LAKE GAS WAZINDUA BIDHAA MPYA, NI YA KIPEKEE NA IMEZINGATIA USALAMA KWA JAMII YOTE.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTtpTV_TGJoOTXdunTcDvvGv7zXTlGi_9yFrxXPCEav7WgNJ_u04i1wNv9aVxAOuTlceGe3KX1yluO4Mx5minJfNYBTUiz3u5g2MINFsC1WaoVPad6uhX6Swc74xRICX9GiV-L9-8T1Ys/s1600/MWEPESI.jpg) |
Kamishna Msaidizi wa Nishati katika Wizara ya Nishati na Madini, Bwana Norbert Kahyoza (kulia) na Mmiliki pia Mkurungenzi Mkuu wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh wakiwa na mtungi mpya wa gesi wakati wa uzinduzi wa bidhaa hiyo Dar es Salaam juzi. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkWR_ZIbdOW8SB0Oqwo9OWeFheSpEKq5PjM8I5w482wiPBVltsArhm0Ukj18gtbFQEU6_G146eqcUhO933g3ojhs35cmAsF5cdOn0gZdwB4xFJr-ekHhj_8XRDDYyhW5RBOH03gZLleFg/s1600/PRESS.jpg) |
Mmiliki pia Mkurungenzi Mkuu
wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh akongea na wanahabari baada ya uzinduzi wa bidhaa hiyo Dar es Salaam juzi. Kwa mujibu wa Awadh, Mitungi hiyo ni miepesi, na yenye kuonyesha kiwango cha gesi iliyobaki, hailipuki bila sababu, na haina madhara kwa mazingira. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirVcZBPSmkMYKEfOO1puzAdC4hCDZ-Wb-oGoqygB-7YJhQGqUT336QKgoSydKQ1s8WshjW8De2Xn68QV_t_xncmUEWDS5JycS-Ztyy8hF2ddH60gwwKsH9V_JLSj3pF3abJ8F9Q_ngKkA/s1600/SHA+1.jpg) |
Msanii Shaa (kushoto) na kundi lake wakitoa burudani katika hafla hiyo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDwLnDU1h2k34438bqtolOej83TLrgg5MU56eCugpI2eDbore2WJxSmFnttKBfL0eBXtla79fppRIJ1dI2M9Nyvk2wCG9PWr0gCzmB5cWkdJyh-VHFEDueyIHlaQB1oqOfOAXaDZ2FOrc/s1600/SHAA.jpg) |
Msanii Shaa (kushoto) na kundi lake wakitoa burudani katika hafla hiyo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitHH8nqiMnX9zQJ_fuEB_zHv19QqYVCzEx8KCFsfUYZQhz0xB8lBcOwgg3EtcJWCQI0G5l2x-aajG5N_Gr4-NKRbBm79W0RPpVgGV_vTU9H7wA_ZhV7vhi5r_imSXCMo_EzZ_zd3et-6k/s1600/SHAH.jpg) |
Msanii Shaa akitoa burudani katika hafla hiyo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFQIbBgVcbs5-BqtX9YM_At46O7Wcqq-JCjoNQ-p5qycfDZ9Ydpi6vC0mg25SdRb8h9j0C4vWD3fAr61nJWnpUY1y0fhbDd4yiBZSH7Ii-qn22nEWWrP6-VhD6yx7OrzNPcIQDPGgfz7c/s1600/UZINDUZ.jpg) |
Kamishna Msaidizi wa Nishati katika Wizara ya Nishati
na Madini, Bwana Norbert Kahyoza (kulia) mmiliki na Mkurungenzi Mkuu
wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh wakiwa na mtungi mpya wa
gesi wakati wa uzinduzi wa bidhaa hiyo Dar es Salaam juzi. Kamishna alipongeza jitihada za kampuni hiyo na kuhimiza upinzani wa kibiashara lakini pia kutoa nafasi za ajira ambazo itaongezea pato la Taifa. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyAMQkz9_QRRlTMRtfaXwffts_MxMBg4oxRHC6t4JFmFYLdM9vwOSxJSMedR-8elR2yzv2Xzp6TbL70cSO_chL4VSVdZa8GB9Tk-N3EtaIcGXcn4F06vCUYynxHr11sjIpj2q32dmTGhs/s1600/OFFICIALS.jpg) |
Mmiliki pia Mkurungenzi Mkuu
wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi na wadau walihohudhuria hafla hiyo |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxHTGEBwbU3iOp4A15cIbz9SM-nR3o8U9x7Ze1bhkrOm-Uk70GqgpV8CPLgOp7Nuv0bA6s7n_wHWdxwPF3jccTh3I5l_Iu57XwcYZ5kM4uX0zjxRy4WXS2MeKFCMv7wlo3s8cyF7HTnIY/s1600/AWADH.jpg) |
Mmiliki pia Mkurungenzi Mkuu
wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh akiongea kuwashukuru wageni na mgeni rasmi katika hafla hiyo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjIkdNeX3IJ3JQ22WxO39m6cx8wtF9n06CytEVRZmBRkhjWO8lRiRfGwsOyUJwAReLXPfOJSVEp2SHYM6jf4Zt_lOM1TQ5DwFLnw9if1RbC1T5ev8Ow0m2nhFB-hG5zPgW1ETpAXLBaMA/s1600/BOSSES.jpg) |
Mmiliki pia Mkurungenzi Mkuu
wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh (katika), Kamishna Msaidizi wa Nishati katika Wizara ya Nishati
na Madini, Bwana Norbert Kahyoza (kushoto) na Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni hiyo, Bwana Khaled Hassan Mohamed wakiwa katika uzinduzi huo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgR5eCJscNdSFAFM1gHZLPvjkWk2z3yU4UEfKVlta3rgg2LhcRF4Lqtc9apJgVHp3b4jz1MU3ac5XBgnURBEAC0lya4W2v1gWc47CYFdVVDqCfSYGNO5BhM9E_WyGLjOFITDtB44GAM4_4/s1600/CHARTS.jpg) |
Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni hiyo, Bwana Khaled Hassan Mohamed (kushoto) akibadilishana mawazo na Meya wa Manispaa ya Ilala, Mhe. Jerry Silaa alipohudhuria hafla hiyo. Katikati ni Mmiliki pia Mkurungenzi Mkuu
wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh (katikati) |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgimvW2giOAxXly1Qpdys9zMF45k4kxbjuscbcmJ3JiIQs1ygsPNVtSIn7OAAORUh1aTL_hP5NKWERvVl0WmXZNcXRPNG0tShyphenhyphenSYIahO7oBlqNSzGAEwTqhyphenhyphen8a8DtppMO_mSpIkdGfUO5s/s1600/EXECUTIVESS.jpg) |
Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla hiyo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTRNAyiJx7x4GKAcGUESJTQLjR5lNgKG-gtItam8LGSKyriLCJGEocZ5LuJfKwbEk0V8wpIxOMuoyHC57KhlC4EJDvRqKtjn_zj6OxZPeEmTd70dEOsxVjGGBogEvT4Am_XznX3JyepGw/s1600/OTHERS.jpg) |
Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na mmiliki na pia Mkurungenzi Mkuu
wa Kampuni ya Lake Oil, Bwana Ally Edha Awadh (wa tatu kulia) .
|
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVamQ1xt4Xo-UabYtQJEetbnSzV5csWzDKAF9L9-wBuXgHm8pk9TIEfjQv_lfs0ptLPpUtDF6fiRUi-qz6h3U2pD0RBseXBsIRI2v7y32pxKZ2FC7M5Zinc-EJu9gNFrmmqC5OpBsGg5Y/s1600/KURRA.jpg) |
Mkurugenzi Mtendaji wa Lake Oil Ltd, Bwana Kurra Choundry akiongea katika hafla hiyo. Alisema kuwa sifa za mitungi hiyo zitamfanya mtumiaji afurahie licha ya muonekano wake. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcWWE5Nnp51MtfWyZ5knYmO0JiX8dl5s6_Rx3yIrNUU-feOEUWWfrVCD7u7TBCw0jd6FjW22IdZG3DXpQgjErhw_mx0EeNSudD2Z39AWkJWeWDvN1PNXAJ6_eWCarmaSDkh5VMrqg30i4/s1600/MA+1.jpg) |
Baadhi ya wageni walihouhudhuria hafla hiyo.
Kwa mawasiliano nao tuma ujumbe kwa admin@lakeoilgroup.com na nambari 0715303880. | |
----------------------------------------------------------------------
COMMENTS