RC IRINGA MWALIMU AMINA MASENZA AONYA WATUMISHI WANAOKWEPA MAZOEZI
Mkuu  wa  mkoa  wa  Iringa  mwalimu  Amina Masenza (wa tatu kushoto) akiongoza  mazoezi ya viungo katika  uwanja wa  samora  Leo wa  pili kushoto ni katibu  tawala wa mkoa  wa Iringa wamoja Ayubu
HomeJamii

RC IRINGA MWALIMU AMINA MASENZA AONYA WATUMISHI WANAOKWEPA MAZOEZI

Mkuu  wa  mkoa  wa  Iringa  mwalimu  Amina Masenza (wa tatu kushoto) akiongoza  mazoezi ya viungo katika  uwanja wa  samora  Le...

WAVUVI WA KIJIJI CHA NUNGWI WALALAMIKIA UVUVI HARAMU KATIKA BAHARI YAO NA KWENDA MAENEO YA MBALI KUVUA
AHADI ZA RAIS DKT. MAGUFULI ZATEKELEZWA KATIKA ZIARA YAKE MIKOA YA KUSINI
RAIS MAGUFULI AIPA "MENO" TANESCO. ZANZIBAR NA TAASISI NYETI SASA KUKATIWA UMEME KWA MADENI.




DC  Iringa  Richard  Kasesela wa kwanza  kulia  akishiriki mazoezi ya  riadha kutoka  uwanja  wa Samora

Washiriki wa  mazoezi  wakiwasili  ufisi ya  RC Iringa wakitokea  uwanja  wa  Samora

Afisa  michezo mkoa wa Iringa Kenedy Komba  akiorodhesha  majina  ya wakuu wa Idara  walioshiriki mazoezi leo ni  kuwabana wamnaokwepa mazoezi


Wanamazoezi  wakitoka  uwanja wa  samora


Mkazi  wa Iringa  akiwa amebeba  pombe aina ya  komoni asubuhi ya  leo pombe  hii inatengenezwa kwa mahindi jambo  ambalo  serikali  ya  mkoa imepiga marufuku matumizi mabaya ya  chakula

Mkazi  wa Iringa  akipishana na washiriki wa mazoezi huku  akiwa amebeba pombe ya  komoni inayotengenezwa  kwa mahindi

RAS  Iringa na RC Masenza kulia  wakiwa katika mazoezi

RC Iringa Amina Masenza  kulia  akiongoza mazoezi saa 12 asubuhi ya  leo

Afisa  habari Manispaa ya  Iringa  Sima Bingilengi kushoto  akiwajibika

Mwanahabari Manispaa ya  Iringa Janeth Matondo kulia pia  akishiriki mazoezi


DC  Kasesela katikati wa  pili  kulia akiwa na wadau  wa  kwanza  kulia ni Geofrey  Mungai
Mzee Vitus Mushi  akiwajibika mazoezini

DC  Iringa  Richard Kasesela  wa  tatu katikati  kulia akiwa na mkurugenzi Manispaa ya  Iringa Dr  Wiliam na mwanasheria  wa  Iringa wa  pili kulia

Na MatukiodaimaBlog.

MKUU  wa  mkoa  wa  Iringa mwalimu  Amina Masenza amewaonya  watumishi  wa serikali ambao wanakwepa  kushiriki mazoezi ya  pamoja katika  uwanja  wa  Samora  na  kuwa kuanzia sasa mtumishi atakayekwepa kushiriki  kubanwa .

Alisema pamoja na kuwa mazoezi  hayo ni kwa ajili ya afya za kila mmoja kujikinga na maradhi  yanayosababishwa na  kutofanya mazoezi ila  bado mazoezi hiyo  ni  utekelezaji wa agizo la makamu  wa Rais kwa  kila mtanzania .

Hivyo  alisema kutokana na baadhi ya  watumishi hasa  wanawake  kukwepa mazoezi hayo anaandaa mkakati wa kuwabana  watumishi  wote  wanaokwepa mazoezi kwa  kuitisha mazoezi  siku ya kazi ili wale  ambao  watashindwa  kufika watawajibishwa .

"Naangalia  ni  siku gani  ambayo  itakuwa ni  siku ya kazi kama ijumaa ama siku  nyingine  yeyote  ambayo  nitaitisha mazoezi kuanzia ofisi  yangu  hadi  Samora kwa  kila mtumishi kushiriki na siku hiyo hata ofisini  watumishi  wakichelewa ni  sawa lengo  kuweza  kufanya mazoezi na kutekeleza agizo la  serikali ......nashangazwa  sana  awali  wanawake  ndio  ambao  walikuwa  wakifika kwa  wingi mazoezini  ila leo  hii idadi ya  wanawake  imepungua ukilinganisha na  wanaume ....nawashangaa sana wanawake  wanaokwepa mazoezi  wakati  ndio ambao  wanakula vitu  vyenye mafuta "

Hivyo  alisema  kuanza sasa  kila mtumishi  wa serikali  lazima  kufika katika mazoezi na  utawekwa  utaratibu  wa  kuorodhesha majina kila idara  ya  watu  wanaoshiriki mazoezi .
Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: RC IRINGA MWALIMU AMINA MASENZA AONYA WATUMISHI WANAOKWEPA MAZOEZI
RC IRINGA MWALIMU AMINA MASENZA AONYA WATUMISHI WANAOKWEPA MAZOEZI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhotkqEYEEQx9Td87vWXo7GDWhRN7bK8libgiYLhwJE2oeeQdU2iaid5O5HaN5gNfnhNI2wI5QkrtMDiwtCIPDZGW2BYKgUKRloky31jEe6USj307pOANeyWQmrS7nHdUQr6yoMu8JBNRU2/s640/DSC_0574.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhotkqEYEEQx9Td87vWXo7GDWhRN7bK8libgiYLhwJE2oeeQdU2iaid5O5HaN5gNfnhNI2wI5QkrtMDiwtCIPDZGW2BYKgUKRloky31jEe6USj307pOANeyWQmrS7nHdUQr6yoMu8JBNRU2/s72-c/DSC_0574.JPG
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2017/02/rc-iringa-mwalimu-amina-masenza-aonya.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/02/rc-iringa-mwalimu-amina-masenza-aonya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy