Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein, (katikati), akitoa maelekezo kwa uongozi wa Televisheni ya Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar, (ZBC TV), leo Septemba 21, 2016, alipofanya ziara maalum ya
kutembelea kituo cha kurushia matangazo ya TV, Karume House pia kutembelea
sehemu mbali mbali katika kituo hicho, akiwepo na Katibu Mkuu wa Wizara ya
Habari,Utalii, Utamaduni na Michezo, Omar Hassan Omar (wa tano kulia). (PICHA
NA IKULU YA ZANZIBAR).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa utayarishaji wa Vipindi vya
ZBC Tv, Halima Mselem (katikati) wakati alipotembelea moja ya Ofisi za ZBC TV
katika kituo cha kurushia matangazo Karume House leo akiwa katika ziara maalum.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mhariri Mkuu wa ZBC Tv Nd,Suleiman
Almasi (wa pili kushoto) wakati alipotembelea chumba cha Habari (News Room)
leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea kituo cha kurushia matangazo
ya TV Karume House.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kushoto) akimuuliza jambo Kaimu Fundi Mkuu wa ZBC TV Nd,Mwadini
Ame (kulia) wakati alipotembelea Studio ya kurikodia vipindi mbali mbali akiwa
katika ziara maalum katika kituo cha kurushia matangazo ya TV Karume House
leo,(wa pili kulia) Mkurugenzi wa ZBC TV Nd,Iman Duwe na (kushoto) Katibu Mkuu
wa Baraza la Mapinduzi na katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee
Mtangazji wa Habari wa ZBC TV Nd,Khamis Fakih (kulia) akitoa maelezo kwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati) wakati alipotembelea moja ya studio za kusomea Taarifa mbali
mbali muhimu ikiwemo taarifa za Habari katika kituo cha Karume House leo
alipofanya ziara maalum, akiwa na Ujumbe wake akiwemo Katibu Mkuu wa baraza la
Mapinduzi pia katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee (wa pili kulia)
katibu Mkuu Wizara ya habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Nd.Omar Hassan Omar(wa
tatu kushoto)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein (katikati) wakati alipotembelea moja ya studio za kusomea
Taarifa mbali mbali muhimu ikiwemo taarifa za Habari katika kituo cha Karume
House leo alipofanya ziara maalum, akiwa na Ujumbe wake akiwemo Katibu Mkuu wa
baraza la Mapinduzi pia katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee (wa pili
kulia) katibu Mkuu Wizara ya habari,Utalii,Utamaduni na Michezo, Omar Hassan
Omari (wa tatu kushoto).
COMMENTS