MAHAFALI YA CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA CHA KAMPALA (KIU) YAFANA Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernar...
MAHAFALI YA CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA CHA KAMPALA (KIU) YAFANA
![]() |
Mkuu wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) Dar es Salaam, Rais mtaafu Dk Ali Hassani Mwinyi akimtunuku mmoja wa wahitimu bora katika mahafali hayo. |
![]() |
Mdau Devotha Shirima (kushoto) akipokea zawadi kutka kwa wadogo zake baada ya kutunukiwa digrii ya uzamili ya utawal na Rasilimali watu |
![]() |
Mkuu wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) Dar es Salaam, Rais mtaafu Dk Ali Hassani Mwinyi akiondoaka baada kuhudhurisha kwenye mahafali hayo. |
Baadhi ya wakuu wa idara mbalimbali za Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala wakiingia katika viwanja vya chuo hicho Kampasi ya Dar es Salaam tayari kwa mahafali ya kumi na moja ya chuo hicho. |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Makamu Mkuu wa Chuo cha Kampala International University (KIU), Profesa Muhammad Ndaula akiongea kwenye hafla hiyo. |
![]() |
![]() |
![]() |
Mfanyakazi wa Kampuni Tanzania Standard (Newspapers) Limited, Salome Magaya (kushoto) akiwa na wahitimu wenzake katika mahafali hayo. |
![]() |
Brenda Masha (katikati) akiwa na wahitimu wenzake baada ya kutunukiwa shahada ya kwaza ya Utawala wa Umma leo. |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini wa Kamapala International University (KIU), Mhe. Nasser Basajjabalaba akiongea wakati wa mhafali hayo. |
![]() |
![]() |
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernard Membe akiondoaka baada kuhitimisha mahafali hayo. |
![]() |
Mkuu wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) Dar es Salaam, Rais mtaafu Dk Ali Hassani Mwinyi akiongea wakati wa mahafali hayo. |
![]() |
![]() | ||
********************************* |
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe,
amesema elimu imekomboa wanawake nchini Tanzania kwa kuwapa uwezo wa
kushiriki sawa sawa na wanaume kwenye fursa za kiuchumi, kisiasa na
kijamii.
Mhe.
Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha
Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia
kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana
kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea
kuridhishwa na uwezo ulioonyeshwa na wahitimu wa kike katika chuo
hicho. Kati ya wahitimu 902 waliotunukiwa Shahada na Stashahada na Mkuu
wa Chuo Kikuu hicho, Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, 423 ni wanawake.
Mhe.
Membe aliwataka wahitimu hao watumie elimu yao vizuri katika kuiendeleza
jamii na taifa, kufanya kazi kwa bidii na kutii sheria za nchi.
SPEECH BY HON. BERNARD KAMILLIUS MEMBE (MP), MINISTER
FOR FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION OF
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO THE CONVOCATION OF
THE ELEVENTH GRADUATION CEREMONY OF KAMPALA
INTERNATIONAL UNIVERSITY AND THE SECOND IN DAR ES
SALAAM CAMPUS BY ON 21ST NOVEMBER,
2014
University Chancellor (Former President Mwinyi)
Chairman of the Board of Trustees,
Members of the Board,
The Chairman, KIU University Council,
Members of the Council,
Vice Chancellor, KIU Dar es Salaam Constituent
College,
Tanzanian Government Officials,
Members of Diplomatic Corps,
Officials of the Tanzania Commission for Universities,
The Academic and Support Staff,
Graduating Class of 2014,
2
The Student Community,
Invited Guests,
Ladies and Gentlemen,
It is difficult and indeed politically unwise to decline a
speaking
invitation from the former president Ali Hassan Mwinyi who is
also the chancellor of this prestigious KIU Dar campus. So let me thank
you very much for inviting me to be guest of honor to this event. I
would also like to congratulate each one of you for your dedication, sacrifice
and hard work which has resulted into academic success. But we all know
that behind any success there is somebody who continuously gives a
push, therefore I would like to recognize all the lecturers,
teachers and supporting staff for the job well done to this class of 2014.
And for you President Mwinyi, I offer my congratulations for becoming Dr.
Ali Hassan Mwinyi following the Doctorate of Science award you just
received on 14
November 2014 in Kampala. To the University, do accept my
congratulations for the good job you are doing and I am overly
optimistic that Tanzania Commission for Universities will grant you a
status of a fully-fledged University in Tanzania.
3
Ladies and Gentlemen,
Dear graduates
Education is a master key to success; the more you are
educated the more likely you are to get a good job. Good job translate into
prosperity. I hasten to call of you, to search for jobs after this
graduation. I know you will face challenges around employment, because the labour
market is highly competitive in both government and private sector, but
you should not despair when you don’t get a job within months or even a
year. But you should always remain with the motto of “search and apply”.
As you graduate, you are expected to be good citizens and in fact law
abiding citizen wherever you will be, freedom and democracy have
boundaries
and as human beings we must always observe the rules that
govern our societies. To quote the Registrar of Westminster Parliament in
the United Kingdom One Mr. Peter “You are not Free and it is not meant
that you should be, books of rules and regulations are placed on your
tables and you will never get rid of them until your reach your grave
then you will be free. And only then”
And for you female graduates, Congratulations for your
remarkable academic performance. In the past, education was denied of
you. The 4 type of education you received did not enable you to
understand the nature of your subjection let alone to take your leading roles
in a society. Political awakening if any was quickly annihilated by the
sheer frowning society. It was sometimes the wives of politicians who held
high political and public positions. But unfortunately these women
represented more
their husbands’ interests than the interests of their fellow
poor toiling women of Africa. And through physical and economic cohesion,
they succumbed to male subjection and exploitation; they also
succumbed to the appropriation of their own sweat in production and
reproduction.
What a strange myth of African life!
Education has emancipated an African woman from the bondage of
perpetual exploitation and subjection. Education has made you
free and you can enter the labour market with no or little
discrimination. You can enter into politics and compete at all levels from a cell
leader to the highest office of the land.
For you who will be based in Tanzania, we expect you to
participate fully in the affairs of the country that matters to you personally
and your communities. All issues around development and well-being of
the people should be at the center of you concern.
5 We also do expect of you to play a role in understanding and
be engaged in the process of remaking of Tanzania’s constitution. As
young people form majority of the population in our country, you must step
up and make your voice heard as the constitution will define a huge
part of you future. This goes along with the elections next year for those
who are 18 years and above. You are learned persons and must be aware of
you civic role. Once again, I congratulate you, graduating students on your
remarkable
academic achievement. I wish you great success in whatever
profession or business you may choose to invest your efforts on.
Go and change the world!
THANK YOU FOR YOUR KIND
ATTENTION.
COMMENTS