HABARI YA KUSIKITISHA! MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO AKIDHANIWA MWIZI AFARIKI DUNIA

MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO AKIDHANIWA MWIZI AFARIKI DUNIA, KUMRADHI PICHA INATISHA. Mwanafunzi Daniel Lema aliyejeruhiwa kwa moto ...

MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO AKIDHANIWA MWIZI AFARIKI DUNIA, KUMRADHI PICHA INATISHA.

Mwanafunzi Daniel Lema aliyejeruhiwa kwa moto
Kijana Daniel Lema kabla ya kifo chake
DANIEL Lema kabla ya kujerihiwa na kifo chake
Mwanafunzi huyu Daniel Lema alikuwa akisoma mwaka wa nne, kozi ya sheria katika chuo kikuu kishiriki cha Mt. Augustino cha Ruaha Iringa (Ruaha University College maarufu kama RUCO).

Mwanafunzi huyo alichomwa moto wiki iliyopita akihusishwa na tuhuma za wizi.

Baada ya kulazwa katika hospitali ya mkoa wa Iringa kwa wiki moja sasa, mwanafunzi huyo ameaga dunia majira ya saa nane mchana.

Taratibu za kuaga mwili wake zinaendelea kufanywa na uongozi wa chuo hicho, ndugu na wanafunzi wenzake.

Taarifa za awali zinaonesha kwamba mwili wake utaagwa kesho kuanzia saa moja asubuhi kabla ya kusafirishwa kupelekwa kwao mkoani Kilimanjaro kwa mazishi. Mazishi ya kijana huyo yanatarajia kufanyika jumatano ya wiki hii.

Juni 24, mwaka huu Daniel Lema alikutwa na mkasa wa kukamatwa na kuchomwa moto wakati akitoka kuangalia fainali za kombe la dunia katika moja ya Bar za mjini Iringa.

Akiwa amelewa aliingia katika moja ya migahawa ya mjini hapa akitafuta chakula, ilikuwa majira ya saa tano mwanafunzi huyo aliingia kwenye mgahawa ambao biashara hiyo ilikua imefungwa.

Binti aliyekuwepo katika mgahawa huo alianza kupiga kelele akidhani kavamiwa na mwizi. Mlinzi wa eneo hilo (mmasai) alimvaa kijana huyo na kumshambulia.

Baada ya tukio hilo taarifa zinasema walitokea watu wawili waliojitambulisha kuwa ni askari; askari hao walizuia watu waliozidi kujitokeza katika eneo hilo kuendelea kumpiga kijana huyo.

Wakiwa njiani, wananchi hao waliokuwa wakifuatilia kama atafikishwa kituo cha Polisi waliona wanachalewa na kuamua kuchukua sheria mkononi kwa kuendelea kumpiga kabla ya kumchoma moto.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HABARI YA KUSIKITISHA! MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO AKIDHANIWA MWIZI AFARIKI DUNIA
HABARI YA KUSIKITISHA! MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO AKIDHANIWA MWIZI AFARIKI DUNIA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgZ-1sXNLvZ6Q935qYsbsddmhNiVziou7MBlTC3w0RTwpYBdr61wflzLer7spkQVL6llx-97HYbdZEHztXbiYCDU05pC1hdYe84Tc1X7xB0PiZHdDVUAVb-dnPXuWTQCzljXVagCrhE5aA/s640/moto.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgZ-1sXNLvZ6Q935qYsbsddmhNiVziou7MBlTC3w0RTwpYBdr61wflzLer7spkQVL6llx-97HYbdZEHztXbiYCDU05pC1hdYe84Tc1X7xB0PiZHdDVUAVb-dnPXuWTQCzljXVagCrhE5aA/s72-c/moto.jpg
Okandablogs
https://robertokanda.blogspot.com/2014/07/habari-ya-kusikitisha-mwanafunzi.html
https://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2014/07/habari-ya-kusikitisha-mwanafunzi.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy