TANAPA KUMTUNUKU MWANASAYANSI NA MTAFITI WA SOKWE, DKT JANE GOODALL

Meneja Mawasiliano wa  Shirika la Hifadhi za Taifa TANAPA, Pascal Shelutete akizungumza jambo wakati wa mkutano wa Mwanasayansi ...




Meneja Mawasiliano wa  Shirika la Hifadhi za Taifa TANAPA, Pascal Shelutete akizungumza jambo wakati wa mkutano wa Mwanasayansi na Mtafiti mahiri wa Sokwe Duniani, Dkt. Jane Goodall (wa pili kushoto) na waandishi wa habari kwenye Hifadhi ya Taifa ya Gombe iliyoko mkoani Kigoma


NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanapa, liko mbioni kumpatia tuzo Mwanasayansi na mtafiti mashuhuri Duniani, Dkt. Jane Goodall.
Hayo yalisemwa na Afisa Uhusiano wa TANAPA, Pascal Shelutete wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Hifadhi ya Taifa Gombe iliyoko mkoani Kigoma wakati wa ziara ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini.
“Shirika la Hifadhi za Taifa Tanapa, linatambua mchango mkubwa wa Mwanasayansi na mtafiti maarufu wa Sokwe Dunaini, Dkt. Jane Goodall, katika jitihada za shirika kuhifadhi wanyama na mazingira yanayowazunguka.” Alisema Shelutete wakati wa hafla hiyo fupi iliyowakutanisha waandishi na mtafiti huyo mwenyeumri wa miaka 82.
Dkt.Goodall mzaliwa wa Uingerezaambaye amefanya tafiti kwa muda mrefu nchiniTanzania, takribanmiaka 50, ametoa mchango mkubwa katikakukuza utalii wa Tanzanianje yanchi kutokana na utafiti wakewa Sokwe, kwenye Hifadhi hiyo ya Taifa ya Gombe. Kutokana na kufanyautafiti wa Sokwe kwa muda mrefu kwenye Hifadhi hiyo, Dkt. Goodallana uwezomkubwa wa kuwasiliana na wanyama hao kwa milio tofauti tofauti.

 Dkt. Jane Goodall, akizungumza jambo wakati wa mkutano huo uliofanyika kwenye Hifadhi ya Taifa ya Gombe mkoani Kigoma
 Dkt. Goodall, akiwa na maafisa wa TANAPA, pamoja na kundi lawaandishi wa habari huko Hifadhi ya Taifa ya Gombe
 Dkt. Goodall akisalimiana na Pascal Shelutete, Meenja Mawasiliano wa TANAPA, kwenye Hifadghi ya Taifa ya Gombe, mkoani Kigoma
 Dkt. Goodall akionyesha mapenzi makubwana Sokwe, kiasi kwamba wanyama hao wamekuwa rafiki yao kubwa
 Dkt. Goodall aliipenda Tanzania tangu akiwa msichana "mbichi"
Dkt. Goodall akiwa na Sokwe kwenye Hifadhi ya Taifa ya Gombe, mkoani Kigoma

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TANAPA KUMTUNUKU MWANASAYANSI NA MTAFITI WA SOKWE, DKT JANE GOODALL
TANAPA KUMTUNUKU MWANASAYANSI NA MTAFITI WA SOKWE, DKT JANE GOODALL
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgi5Zww0GYOmOUJsEPEpoiYcMk49qnYRItbujGpFow-1Rt51Rxv9AVPUey7vb8bYzUdJK5QuKDLpZLcP8FQt214YSrJQHsuDkS0tEQGSSAboF6rIuJ-ratCvDIASKycRwC6bng1Ak4RQlw/s640/13697300_1237886989557398_561921198880685170_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgi5Zww0GYOmOUJsEPEpoiYcMk49qnYRItbujGpFow-1Rt51Rxv9AVPUey7vb8bYzUdJK5QuKDLpZLcP8FQt214YSrJQHsuDkS0tEQGSSAboF6rIuJ-ratCvDIASKycRwC6bng1Ak4RQlw/s72-c/13697300_1237886989557398_561921198880685170_n.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2016/07/tanapa-kumtunuku-mwanasayansi-na.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/07/tanapa-kumtunuku-mwanasayansi-na.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy