Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemwachisha kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka wakati akimweka k...
(Picha na Freddy Maro) |
Aliyasema hayo wakati wa Mkutano wake na Wazee wa Dar es Salaam uliofanyika kwenye ukumbi wa Diamond jubilee jijini leo alasiri.
![]() |
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. (Picha na Robert Okanda) |
Rais Kikwete pia amesema Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi atachukuliwa hatua iwapo tume ya maadili na taasis za Takukuru zitabaini kuhusika na ukiukwaji wa maadili ya watumishi wa umma.
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi |
COMMENTS