OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU MUUNGANO WA TANZANIA NA ZANZIBAR

Ofisa Elimu wa Makumbusho ya Taifa, Anamary Bagenyi (kulia) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafu...







Ofisa Elimu wa Makumbusho ya Taifa, Anamary Bagenyi (kulia) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafunzo hayo. Kushoto ni Ofisa Ustawi wa Jamii, Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Elimida Kashuna.
Ofisa Ustawi wa Jamii, Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Elimida Kashuna (katikati), akizungumzia mafunzo hayo mbele ya wanahabari.
Wanafunzi wakiigiza igizo linalohusu muungano.
Wanafunzi wakiwa kwenye warsha hiyo.
Wadau mbalimbali na walimu wakiwa kwenye warsha hiyo.
wanafunzi hao wakifurahia warsha hiyo.


ZAIDI ya Watoto 1,200 kutoka shule 42 za mkoa wa Dar es Salaam wamepatiwa mafunzo kuhusu Muungano wa Tanzania na Zanzibar ambapo maadhimisho ya miaka 51 yanatarajiwa kuadhimishwa Aprili 26 mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Hayo yalisemwa na Afisa Elimu wa Makumbusho ya Taifa Anna Mary Bagenda wakati akizungumza na waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam leo.

Bagenda alisema wanafunzi hao wa shule ya msingi wamepatiwa mafunzo mbalimbali kuhusu muungano ambapo lengo likiwa ni kuwajengea uwezo na ufahamu kuhusu tendo hilo.

Alisema wamelazimika kuchukua wanafunzi wa shule za msingi kutokana na ukweli kuwa vijana wengi kwa sasa wanaoneka kukosa ufahamu wa muungano.

Kwa upande wake Afisa Ustawi wa Jamii Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Elimida Kashumba alisema utaratibu huo wa kuwapatia wanafunzi elimu utakuwa endelevu kwa kila mwaka.

"Matarajio yetu ni kuhakikisha kuwa utaratibu huu unakuwa endelevu kwa nchi nzima ili wanafunzi waweze kujua muungano wao ni vipi," alisema.

Alisema iwapo vijana na watoto wa shule ya msingi watapata elimu ni wazi kuwa uelewa wa muungano utakuwepo wakutosha," alisema.


(Imeandaliwa na mtandao wa http://www.habari za jamii.com/)










COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU MUUNGANO WA TANZANIA NA ZANZIBAR
OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU MUUNGANO WA TANZANIA NA ZANZIBAR
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdvsycynfVyQLlm5vxZUBh1XJlG4-OI91c4C_WzRqeLWHiAQNKBChO-7qHiAK6MurOIo_cpzM1DSTMX-t6fiuO3-MeyTT_x0g369FgriEhgwaab21V5xLvM7Ysrik9EErntdY9z4d1FnY/s1600/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdvsycynfVyQLlm5vxZUBh1XJlG4-OI91c4C_WzRqeLWHiAQNKBChO-7qHiAK6MurOIo_cpzM1DSTMX-t6fiuO3-MeyTT_x0g369FgriEhgwaab21V5xLvM7Ysrik9EErntdY9z4d1FnY/s72-c/1.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2015/04/ofisi-ya-makamu-wa-rais-na-makumbusho.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2015/04/ofisi-ya-makamu-wa-rais-na-makumbusho.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy