Idris Sultani, mshindi wa Big Brother Africa 2014, akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Hayyatt Regency Kilima...
 |
Idris Sultani, mshindi wa Big Brother
Africa 2014, akizungumza na waandishi wa habari
kwenye hoteli ya Hayyatt Regency Kilimanjaro Hotel, jijini Dar es Salaam,
wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari, leo Alhamisi Desemba 11, 2014.
Idris amesema siri ya ushindi wake ni nidhamu ya kuwa mshiriki ndani ya jumba
hilo kwa kipindi chote cha mshindano, na ushindi huo ni kwa ajili ya Afrika na
waafrika.
Mshinmdi huyo ametwaa dola za kimarekani 300,000, sawa na
shilingi za kibongo zaidi ya milioni 500.
Pamoja naye ni meneja wa Mahusiano wa Multichoice-Tanzania, Barbara Kambogi
|
 |
| Idris, akiwa na aliyekuwa mwakilishi mwenzake wa Tanzania katika BBA 2014 |
 |
| Idris, akiwa na aliyekuwa mwakilishi mwenzake wa Tanzania katika BBA 2014 |
|
 |
| Idris,
(katikati), Meneja wa Mahusiano wa Multichoice-Tanzania, Barbara Kambogi, (kushoto)
na Meneja Masoko wa Multichoice-Tanzania, Furaha Samuli |
 |
| Mwakilishi mwenza wa Idris kwenye BBA 2014, akizungumza kwenye mkutano huo |
 |
| Big Brother africa 2014, Idris Sultani akitabasamu baada ya "kupigwa swali"(Kwa hisani ya K-VIS Blog) |
COMMENTS