WAZIRI MAKAMBA AELEZA MOJA YA KERO KUBWA YA MUUNGANO ILIYOSALIA NI KODI

NA K-VIS BLOG, ZANZIBAR WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe.January Makamba ...



NA K-VIS BLOG, ZANZIBAR
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe.January Makamba amesema moja kati ya changamoto za muungano zilizobakia kwa sasa ni masuala ya kodi, ikiwemo taratibu za kodi ya VAT na usimikaji wa mitambo inayoshahabiana kwenye vituo vya forodha vya pande mbili za muungano.
Pia amesema, kuwepo kwa bandari zisizo rasmi “bubu” ni tatizo linguine na kuziagiza mamlaka kuhakikisha linasimamia mambo hayo ili kukomesha.
“kumekuwepo na manung’uniko kwenye eneo hili la ulipaji kodi stahiki na yapo mambo mengi yanayochangia manung’uniko hayo, nitoe wito tu kwamba lazima tujitahidi kuhakikisha kero hizo zinaondoka kabisa” alisema Mhe. Makamba
Ameeleza kwamba amelipokea suala hilo na kwamba tayari linashughulikiwa na mamlaka husika kwa uratibu wa Ofisi ya Makamu wa Rais. Hata hivyo, ameahidi kusukuma ukamilishaji wà utekelezaji wà masuala haya kupitia kwenye vikao vya ngazi ya juu kwa maamuzi. Hii ni baada ya kutembelea Shirika La Bandari Zanzibar (ZPC), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB).
Waziri Makamba leo ni siku ya pili ya ziara yake ya wiki moja kufatilia utekelezaji wa hatua za kutatua changamoto za Muungano. Ziara ya leo imelenga kubaini changamoto za kiforodha na kikodi zinazosababisha changamoto katika fursa za kiuchumi na biashara kati ya wananchi wa pande mbili za Muungano.



COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI MAKAMBA AELEZA MOJA YA KERO KUBWA YA MUUNGANO ILIYOSALIA NI KODI
WAZIRI MAKAMBA AELEZA MOJA YA KERO KUBWA YA MUUNGANO ILIYOSALIA NI KODI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIBkiO09xhLdFtbb31N49dfZxBsClhlqhkap6jN0zB7g6u11gRRML20rbrvGwiRHFzIbGtbsoB9kM5fIU-UMBvny-FElwvxxBgUXR3xN030Ni8lryyBzn4p0wwvJeuvhGMFztXvmQ4ma_1/s640/15.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIBkiO09xhLdFtbb31N49dfZxBsClhlqhkap6jN0zB7g6u11gRRML20rbrvGwiRHFzIbGtbsoB9kM5fIU-UMBvny-FElwvxxBgUXR3xN030Ni8lryyBzn4p0wwvJeuvhGMFztXvmQ4ma_1/s72-c/15.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/waziri-makamba-aeleza-moja-ya-kero.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/10/waziri-makamba-aeleza-moja-ya-kero.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy