LOWASSA NA JK USO KWA USO MAZISHI YA BILIONEA MELUA MREMA HUKO NGURUDOTO

  Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete wakisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu, Edward  Lowassa katika mazishi ya bilione...



 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete wakisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu, Edward  Lowassa katika mazishi ya bilionea Maleu Mrema Agosti 9 nje kidogo ya jiji la Arusha katika hoteli ya Ngurudoto
 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la Bilionea marehemu Maleu Mrema katika ibada ya mazishi yaliyofanyika jana katika hoteli yake ya Ngurudoto iliyopo nje kidogo ya jiji la Arusha.
Waziri Mkuu mstaafu,Edward  Lowassa akiweka shada la maua pamoja na mke wake  katika mazishi ya bilionea Maleu Mrema jana nje kidogo ya jiji la Arusha katika hoteli ya Ngurudoto
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Mrema katika ibada ya mazishi yaliyofanyika katika hoteli yake ya Ngurudoto iliyopo nje kidogo ya jiji la Arusha
 Baadhi ya wake za marehemu wakiweka udongo katika kaburi la mpendwa wao

 Waziri Mstaafu wa mambo ya nje Bernard Membe akiweka shada la maua katika kaburi la Bilionea Mrema

 Meneja mahusiano Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) Pascal Shelutete akiweka shada la maua katika kaburi la Bilione Mrema
 Watoto wa marehemu wakiwa wamebeba mashada ya maua

 Baadhi ya wanakamati wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Mrema kuelekea katika eneo maalumu lililotengwa na familia kwaajili ya maziko.

 Hapa watoto wakiwa wanaweka udongo katika kaburi la baba yao.
 Wake wa marehemu wakiwa wanaingia katika eneo maalumu lililotengwa kwaajili ya maziko
 Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo pamoja naAbdulrahman Omari Kinana wa Katibu Mkuu wa CCM (kushoto) katika msiba wa Mrema.

 Wake wa marehemu Mrema wakiwa katika huzuni. Kulia ni baba mzazi wa Bilionea huyo.

 Mh Abdulrahman Omari Kinana Katibu Mkuu wa CCM akitoa heshima zake. 

 Jeneza la marehe Bilionea Maleu Mrema likiwa linashushwa kaburini. 

Wanafamilia wakiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete. Pamoja nao ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.

Mwonekano wa kaburi baada ya mazishi ya Maleu Mrema. (PICHA NA PAMELA MOLLEL)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: LOWASSA NA JK USO KWA USO MAZISHI YA BILIONEA MELUA MREMA HUKO NGURUDOTO
LOWASSA NA JK USO KWA USO MAZISHI YA BILIONEA MELUA MREMA HUKO NGURUDOTO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1f_4cfj_ZiN5cOrpBkf_eq5j5Wzv5nCVOuGLGa4ShGUZEunjXqjueZ_2UJFPd9eKF6t4SjZZgBQKBkmYUM01eaD3IDJbHwxDtb1TsQVgwu_Jkw3WDyHMdhz4nUUbsTSkdSLyqBfE6Yh62/s640/_MG_6070.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1f_4cfj_ZiN5cOrpBkf_eq5j5Wzv5nCVOuGLGa4ShGUZEunjXqjueZ_2UJFPd9eKF6t4SjZZgBQKBkmYUM01eaD3IDJbHwxDtb1TsQVgwu_Jkw3WDyHMdhz4nUUbsTSkdSLyqBfE6Yh62/s72-c/_MG_6070.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/08/lowassa-na-jk-uso-kwa-uso-mazishi-ya.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/08/lowassa-na-jk-uso-kwa-uso-mazishi-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy