Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimkabidhi mchango wa rambirambi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harriso...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimkabidhi mchango wa rambirambi Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison
Mwakyembe, alipohudhuria msibani kwa aliyekua Mke wa Dkt. Mwakyembe,
Linah Mwakyembe, aliyefariki katika Hospitali ya Agakhan leo alfajiri. Julai
16, 2017. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisaini kitabu cha maombolezo,alipo
hudhuria msibani kwa aliyekua Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison
Mwakyembe,, Linah Mwakyembe, aliyefariki katika Hospitali
ya Agakhan leo alfajiri. Julai 16, 2017.
Mke wa Waziri Mkuu Kassim, Mary Majaliwa, akisaini kitabu cha
maombolezo, alipohudhuria msibani kwa aliyekua Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison
Mwakyembe,, Linah Mwakyembe, aliyefariki
katika Hospitali ya Agakhan leo alfajiri. Julai 16, 2017.
COMMENTS