Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyangao iliyopo Jimbo la Mtama mko...
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Nyangao iliyopo Jimbo la Mtama mkoani Lindi kwenye
viwanja vya Bunge mjini Dodoma Julai 4, 2017. Kushoto kwake ni Mbunge wa
Mtama, Nape Nnauye. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye
wakisalimiana na wananfunzi wa Shule ya Sekondari ya Nyangao mkoani
Lindi kwenye viwanja vya Bunge jini Dodoma Julai 4, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa
Shule ya Sekondari ya Nyangao iliyopo katika Jimbo la Mtama Mkoani Lindi
kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Julai 4, 2017. Pamoja naue ni Mbunge wa Kuteuliwa, Mama Salma Kikwete na Mbunge wa
Mtama Nape Nnauye (kulia).
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa
Shule ya Sekondari ya Nyangao iliyopo katika Jimbo la Mtama Mkoani Lindi
kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Julai 4, 2017. Wa pili (kulia) kushoto
kwake ni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye na Mbunge wa kuteuliwa Mama Salma Kikwete.
COMMENTS