Mgeni Rasmi, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Simon Odunga, akisindikizwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani,Na...
Mgeni
Rasmi, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Simon Odunga, akisindikizwa na
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani,Naibu Waziri Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia) kuingia
ukumbini wakati wa hafla ya kutunuku tuzo kwa Mabalozi wa Usalama
Barabarani,iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Hotel ya Royal,mkoani
Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani,Mkuu wa Kikosi cha
Usalama Barabarani nchini,Mohamed Mpinga akionyesha tuzo ya balozi bora
wa usalama barabarani, aliyokabidhiwa na Mgeni Rasmi, Kaimu Mkuu wa Mkoa
wa Dodoma, Simon Odunga(kushoto) wakati wa hafla ya kutunuku tuzo kwa
mabalozi hao,wapili kushoto ni Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama
Barabarani,Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad
Masauni.Hafla hiyo imefanyika mwishoni mwa wiki katika Hotel ya
Royal,mkoani Dodoma. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mgeni
Rasmi,Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Simon Odunga, akimkabidhi Kamishna
Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Fortunatus Musilimu(kulia) cheti cha
kutambua mchango wake katika masuala ya usalama barabarani wakati wa
hafla ya kutunuku tuzo kwa Mabalozi wa Usalama Barabarani,wapili kushoto
ni Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani,Naibu Waziri
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni.Hafla hiyo
imefanyika mwishoni mwa wiki katika Hotel ya Royal,mkoani Dodoma.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mgeni
Rasmi,Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Simon Odunga, akimkabidhi
Mkurugenzi wa Barabara wa Mamlaka ya Usimamizi wa Usafirishaji wa Nchi
Kavu na Majini(SUMATRA), Johansen Kahatano (kulia) cheti cha kutambua
mchango wake katika masuala ya usalama barabarani wakati wa hafla ya
kutunuku tuzo kwa Mabalozi wa Usalama Barabarani,wapili kushoto ni
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani,Naibu Waziri Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni.Hafla hiyo imefanyika
mwishoni mwa wiki katika Hotel ya Royal,mkoani Dodoma. Picha na Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mgeni
Rasmi,Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Simon Odunga (wakwanza kushoto
waliokaa) na Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani,Naibu
Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wapili
kushoto waliokaa), wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Mabalozi
wa Usalama Barabarani mara baada ya kutunukiwa vyeti ikiwa ni utambuzi
wa mchango wao katika masuala ya usalama barabarani,iliyofanyika
mwishoni mwa wiki katika Hotel ya Royal,mkoani Dodoma. Picha na Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
COMMENTS