TAARIFA KWA UMMA: KUISHA KWA MUDA WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VIBALI VYA UKAAZI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI (e-VERIFICATION)

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI IDARA YA UHAMIAJI    ...


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
IDARA YA UHAMIAJI
     


KUISHA KWA MUDA WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VIBALI VYA UKAAZI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI (e-VERIFICATION)
Idara ya Uhamiaji inapenda kuwakumbusha Waajiri, Wakurugenzi wa Makampuni, Taasisi mbalimbali na Wageni wote kuhakikisha wamehakiki vibali vyao kupitia Mfumo wa Uhakiki ambao unapatikana kupitia Tovuti ya Idara ya www.immigration.go.tz kabla ya zoezi la uhakiki kuisha tarehe 19/07/2017.
Kwa wale ambao kumbukumbu za vibali vyao hazitaonekana katika mfumo wa uhakiki au kuwa na tatizo lolote wanashauriwa kuripoti katika Ofisi za Uhamiaji za Mikoa au kwa Mamlaka husika ndani ya muda uliotolewa.
Baada ya kuisha kwa muda uliotolewa, Idara itafanya ukaguzi nchi nzima na kuwachukulia hatua za kisheria Wageni binafsi, Waajiri, Wakurugenzi wa Makampuni na Taasisi mbalimbali ambazo wageni wao watabainika kuwa na vibali vya kughushi au vilivyopatikana nje ya utaratibu wa utoaji vibali.
Idara ya Uhamiaji ilitoa muda wa siku 90 kwa wale wote wenye vibali vya ukaazi kuhakiki vibali vyao; tangu tarehe ya kuzindua mfumo huo tarehe 19 Aprili, 2017.
Imetolewa na;
KITENGO CHA UHUSIANO,
MAKAO MAKUU, IDARA YA UHAMIAJI,
14 JULAI, 2017.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TAARIFA KWA UMMA: KUISHA KWA MUDA WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VIBALI VYA UKAAZI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI (e-VERIFICATION)
TAARIFA KWA UMMA: KUISHA KWA MUDA WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VIBALI VYA UKAAZI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI (e-VERIFICATION)
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrjLtNHBHPepoL9RWhE0r-PmfFmzmWlqteZ-i7UvKMkS2m1GU65BCJrvhaN5inyQeIGHJv7b4a3AeFWFUToupRzEHzJ2k47db6C5Ag1JbvOgHrFeRYuUGb0SstbECVF0Zd9DDz0iSoYzs/s200/New+Picture.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrjLtNHBHPepoL9RWhE0r-PmfFmzmWlqteZ-i7UvKMkS2m1GU65BCJrvhaN5inyQeIGHJv7b4a3AeFWFUToupRzEHzJ2k47db6C5Ag1JbvOgHrFeRYuUGb0SstbECVF0Zd9DDz0iSoYzs/s72-c/New+Picture.png
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/taarifa-kwa-umma-kuisha-kwa-muda-wa.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/taarifa-kwa-umma-kuisha-kwa-muda-wa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy