STARTIMES YAWATAKA WATEJA KUWAHI OFA KEMKEM KWENYE BANDA LAO MAONESHO YA SABASABA

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam July 5, 2017. Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma bora na nafuu za matangazo ya dijitali nchini, St...



Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam July 5, 2017.
Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma bora na nafuu za matangazo ya dijitali nchini, StarTimes, inawatangazia wateja wake na watanzania kwa ujumla kutembelea banda lao kwenye maonyesho ya 41 ya Sabasaba.
StarTimes  inawapa  wateja  ving’amuzi vya bei rahisi vilivyounganishwa na kifurushi  cha bure kwa mwezi moja kwa shilingi 78,000  kwa dishi na 47000 kwa antena.
Pia wateja wataweza kununua televisheni ya kidigitali kwa bei nafuu zaidi na kupewa punguzo la asilimia  8%  ambapo kutakuwa na inchi 40,32 na 24 yenye kingamuzi ndani yake na kukupa chaneli zaidi ya 100 za kitaifa na kimataifa ili kufurahia ulimwengu wa kidigitali .
Mbali na hayo,kutakuwa na bidhaa nyingine kama simu za kisasa na projekta ambazo zinapatikana kwa bei nafuu ambayo kila mtanzania anaweza kumudu.
Lengo la kufanya hivi ni kumuwezesha kila mtanzania aweze kumudu gharama za matangazo  na kufurahia  ulimwengu wa kidijitali.
Pia tungependa kuwahamasisha wateja wetu kulipia vifurushi tulivyonavyo ili kuweza kutazama chaneli na vipindi vingi zaidi tulivyonavyo  vya kitaifa na kimataifa.
Hata hivyo, wateja wa StarTimes wanafurahia matangazo ya moja kwa moja ya kombe la mabara, Mwezi ujao tutaanza kuonyesha kombe la mabingwa kimataifa (ICC), ligi kuu ya ujerumani (Bundersliga),ligi kuu Italia (Serie A), ligi kuu Ufaransa (League 1) na mwakani kombe la dunia litakalofanyika nchini Urusi.
Tunazo tamthiliya, filamu za kiafrika na ulaya, kichina kihindi, vipindi vya watoto na kadhalika.Vilevile utaweza kuangalia chaneli zaidi ya 37 mubashara na Bure kupitia APP yetu inayopatikana kupitia Google store, App store au www.startimestv.com.


 Wafanyakazi wa Kampuni ya StarTimes Pauline Kaka (katikati) na ofisa Huduma kwa wateja Maria Mtoi (kulia) wakionesha moja ya bidhaa mpya iliyopo kwenye banda lao leo. 






 Meneja Mauzo wa StarTimes Tanzania, David Kisaka akifafanua utendaji kazi wa bidhaa zilizopo kwenye banda la kampuni hiyo kwa wateja waliofika kujionea, kununua na kupata ofa zao.



 Mfanyakazi wa Kampuni ya StarTimes Pauline Kaka akimwandaliwa mteja TV ya Kisasa baada kuinunua katika banda lao kwenye maonesho yanayoendelea ya 41 Sabasaba Dar es Salaam leo. (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogspot)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: STARTIMES YAWATAKA WATEJA KUWAHI OFA KEMKEM KWENYE BANDA LAO MAONESHO YA SABASABA
STARTIMES YAWATAKA WATEJA KUWAHI OFA KEMKEM KWENYE BANDA LAO MAONESHO YA SABASABA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhy2TgNbnDVnVqhiDDEJnHijZQgutLpvj5Z5mKwpfnGJ-FkQVcUHMc6m5dFxW-RKrLBt-ztJbrlrvh7uUROOO6jk0grXi7oJ2dIucJ7TcgBT6gLay1dGfSlYqgigh14s7HzYYvZX2PCHcY/s640/ST1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhy2TgNbnDVnVqhiDDEJnHijZQgutLpvj5Z5mKwpfnGJ-FkQVcUHMc6m5dFxW-RKrLBt-ztJbrlrvh7uUROOO6jk0grXi7oJ2dIucJ7TcgBT6gLay1dGfSlYqgigh14s7HzYYvZX2PCHcY/s72-c/ST1.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/startimes-yawataka-wateja-kuwahi-ofa.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/startimes-yawataka-wateja-kuwahi-ofa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy