Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia) akisalimiana na Mchezaji wa timu ya Bunge William Ngeleja (kushoto) wakati akikagua vikosi vya...
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia) akisalimiana
na Mchezaji wa timu ya Bunge William Ngeleja (kushoto) wakati
akikagua vikosi vya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC GRACE UNITED STATES kutoka
nchini Marekani kabla ya kuanza kwa mechi yao iliyofanyika leo katika uwanja wa
Jamhuri Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akionyesha
zawadi ya jezi ya timu ya Taifa ya Marekani aliyopewa na Mchezaji wa timu ya FC
GRACE UNITED STATES Ndg. Robert Allen (kushoto) kabla ya kuanza kwa mechi kati
ya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC GRACE UNITED STATES kutoka nchini
Marekani iliyofanyika leo uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia)akikabidhiwa
jezi na Mchezaji wa timu ya FC GRACE UNITED STATES Ndg. Robert Allen (kushoto)
kabla ya kuanza kwa mechi kati ya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC GRACE
UNITED STATES kutoka nchini Marekani iliyofanyika leo uwanja wa Jamhuri Mjini
Dodoma.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa pili
kulia) akifurahia jambo na Mchungaji Vicent Valentyn kutoka Afrika kusini (wa tatu
kulia) wakati wakifuatilia mechi kati ya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC
GRACE UNITED STATES kutoka nchini Marekani iliyofanyika leo uwanja wa Jamhuri
Mjini Dodoma.
(PICHA
NA OFISI YA BUNGE)
COMMENTS