Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela mara ba...
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana
na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Viongozi wa Dini mara baada ya kuwasili katika uwanja wa
ndege wa Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia
ngoma za asili kutoka kikundi cha Bujora mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiombewa
sala na Viongozi mbalimbali wa dini kutoka Kanda ya ziwa mara baada ya
kuwasili mkoani Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia
wakazi wa Kona ya bwiru katika barabara ya Airport wakati akitokea
uwanja wa ndege wa Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza waliokusanyika
kumpokea.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza waliokusanyika
kumpokea.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza waliokusanyika
kumpokea.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza waliokusanyika
kumpokea.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza waliokusanyika
kumpokea.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza waliokusanyika
kumpokea.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akinunua
Karanga kutoka kwa Mmachinga anayefanya biashara katikati ya jiji la
Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akinunua
Karanga kutoka kwa Mmachinga anayefanya biashara katikati ya jiji la
Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
mkono wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza wakati akielekea Uwanja wa
Nyamagana kuangalia mechi kati ya Buhongwa United na Timu ya Nyamwaga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
mkono wakazi wa katikati ya jiji la Mwanza wakati akielekea Uwanja wa
Nyamagana kuangalia mechi kati ya Buhongwa United na Timu ya Nyamwaga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Wachezaji wa Buhongwa Fc mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa Nyamagana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
mkono washabiki wa mpira wa miguu wakati akitoka katika uwanja wa
Nyamagana jijini Mwanza. (PICHA NA IKULU)
COMMENTS