Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akiongoza Viongozi mbalimbali wa Serikali,ndugu jamaa na Marafiki katika kut...
Makamu
wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akiongoza Viongozi mbalimbali wa
Serikali,ndugu jamaa na Marafiki katika kutoa heshima za mwisho mbele ya
mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe, mapema leo katika kanisa la
KKKT Kunduchi, jijini Dar es Salaam. Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa
wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani
Mbeya kwa mazishi.
Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt
Harisson Mwakyembe akiwa samnjari na familia yake ndani ya kanisa la
KKKT Kunduchi wakishiriki kwa pamoja misa ya kuaga mwili wa Marehemu
Linah Mwakyembe aliyefariki mwishoni mwa wiki.
Makamu
wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pole kwa Waziri wa
Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt Harisson Mwakyembe,kufuatia kifo
cha mke wake mpendwa Linah Mwakyembe,kilichotokea mwishoni wa wiki
jijini Dar.
Makamu
wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akitoa salamu za pole wakati wa kuaga
mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa la
KKKT Kunduchi,jijini Dar. Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa
wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani
Mbeya kwa mazishi.
Misa
ya kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe ikiendelea mapema leo
katika kanisa la KKKT Kunduchi jijini Dar. Marehemu Linah Mwakyembe
aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda
wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.
Baadhi
ya Viongozi wa chama na Serikali wakijadiliana jambo kabla ya kuanza
kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa
la KKKT Kunduchi,jijini Dar. Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho
mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani
Mbeya kwa mazishi.
Katibu
Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akimfariji Waziri wa
Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt Harisson Mwakyembe kufuatia
kuondokewa na mke wake Linah Mwakyembe mwishoni mwa wiki.
COMMENTS