NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII DKT. NZUKI AFUNGUA WARSHA YA KUKUSANYA MAONI

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki  akizungumza wakati akifungua warsha  iliyoandaliwa na Wizar...


Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki akizungumza wakati akifungua warsha iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwa wadau wa Mikoa ya Kanda ya Kati kwa ajili ya kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya mwaka 2016 iliyofanyika mjini Dodoma leo. 
Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Ezeckiel Mwakalukwa akizungumza katika warsha iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwa wadau wa Mikoa ya Kanda ya Kati kwa ajili ya kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya mwaka 2016 iliyofanyika mjini Dodoma leo. 
 Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kushoto) akipokea vitabu vya Sera ya Taifa ya Misitu ya mwaka 1998 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mpingo Conservation Initiatives, Makala Jasper ambao wamesaidia kuchapisha nakala 1304 za sera hiyo kwa ajili ya kusaidia zoezi linaloendelea la kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya Mwaka 2016 katika warsha iliyoandaliwa na Wizara hiyo mjini Dodoma leo. Kulia anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Dkt. Ezeckiel Mwakalukwa.
 Baadhi wa watumishi wa Wizara ya Maliasili na wadau wa sekta ya Misitu na Nyuki wakiwa kwenye warsha iliyoandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ajili ya kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya mwaka 2016, mjini Dodoma leo.
Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo.
Baadhi ya wakazi wa kanda ya kati walioshiriki warsha iliyoandaliwa na Wziara ya Maliasili na Utalii kwa ajili ya kukusanya maoni iliyoandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ajili ya kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya mwaka 2016, mjini Dodoma leo.
Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo kutoka mikoa ya Kanda ya Kati.
  Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo.
 Picha ya pamoja ya Naibu Katibu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki na washiriki wa warsha hiyo.
 Picha ya pamoja ya Naibu Katibu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (katikati walioka), Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Dkt. Ezeckiel Mwakalukwa (kulia kwake)na Wawezeshaji wa warsha hiyo.
Washiriki wa warsha hiyo wakiwa kwenye vikundi kazi vya kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya mwaka 2016 lililoandaliwa na Wizara hiyo mjini Dodoma leo.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii, Alen Richard akizungumza na baadhi ya wadau wa Misitu wa Mikoa ya Kanda ya Kati wakati wa warsha iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwa ajili ya kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya mwaka 2016 lililoandaliwa na Wizara hiyo mjini Dodoma leo.
Washiriki wa warsha hiyo wakiwa kwenye vikundi kazi vya kukusanya maoni ya kuboresha Rasimu ya Sera Mpya ya Misitu ya mwaka 2016 lililoandaliwa na Wizara hiyo mjini Dodoma leo. (PICHA ZOTE NA HAMZA TEMBA - WMU)

SOMA HOTUBA YA NAIBU KATIBU MKUU NA MKURUGENZI WA IDARA YA MISITU NA NYUKI HAPA CHINI

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII DKT. NZUKI AFUNGUA WARSHA YA KUKUSANYA MAONI
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII DKT. NZUKI AFUNGUA WARSHA YA KUKUSANYA MAONI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2HYsZMaecHILoJAsA3pCBX1bU5qPZZGnNzfu_HnWyt9JhkLzCH5cqURAnILWpSa_tcu8VWAoghJLZ2hv0t4U2A1Hr-ftV10pkJAclnCQpg7_c6dOlqZW8ndSt5ldKCK1QkRAvpnoNkJaX/s640/DSC_0726.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj2HYsZMaecHILoJAsA3pCBX1bU5qPZZGnNzfu_HnWyt9JhkLzCH5cqURAnILWpSa_tcu8VWAoghJLZ2hv0t4U2A1Hr-ftV10pkJAclnCQpg7_c6dOlqZW8ndSt5ldKCK1QkRAvpnoNkJaX/s72-c/DSC_0726.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/naibu-katibu-mkuu-wizara-ya-maliasili.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/07/naibu-katibu-mkuu-wizara-ya-maliasili.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy