Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la...
Mwenyekiti
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Andrew Chenge
akiongoza kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini
Dodoma Juni 12, 2017.
Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde
akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba
wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Waziri
wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof Joyce Ndalichako akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(TAMISEMI) Mhe. Selemani Jafo akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Naibu
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Naibu
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. William Ole Nasha akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Naibu
Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Mhe. Eng Stella Manyanya akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Waziri
wa Mambo ya Ndani Mhe. Mwigulu Nchemba akijibu maswali mbalimbali ya
wabunge kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma
Juni 12, 2017.
Mbunge
wa Mbinga Mjini(CCM) Mhe. Sixtus Mapunda akiuliza swali katika kikao
cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12,
2017.
Waziri
wa Maliasili na Utalii Mhe.Prof Jumanne Maghembe akifurahia jambo na
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dk
Susan Kolimba katika kikao cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11
leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Mbunge
wa Kalenga (CCM) Mhe. Godfrey Mgimwa akiuliza swali katika kikao cha
45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Mbunge
wa Mwibara (CCM) Mhe. Kangi Lugola akiuliza swali katika kikao cha 45
cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Mbunge
wa Viti Maalum(CCM) Mhe. Asha Juma akiuliza swali katika kikao cha 45
cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12, 2017.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira,Vijana na Watu
wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza jambo na Naibu Waziri wa
Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Makazi katika kikao
cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12,
2017.
Wanafunzi
wa Shule ya Msingi Holy Trinity English Medium kutoka Mkoani Dodoma
wakiwa Bungeni kwa ajili ya kujifunza shughuli mbalimbali katika kikao
cha 45 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 12,
2017.
Picha zote na Daudi Manongi, MAELEZO, DODOMA.
COMMENTS