Mbunge wa Kasulu Mjini Mhe. Daniel Nsanzugwako (kulia), akiteta jambo na Mbunge wa Madaba Mhe. Joseph Mhagama katika kikao cha 43 cha M...
Mbunge wa Kasulu Mjini Mhe. Daniel
Nsanzugwako (kulia), akiteta jambo na Mbunge wa Madaba Mhe. Joseph Mhagama katika kikao
cha 43 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma June 7, 2017 (Picha zote na Daudi Manongi, MAELEZO).
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Najma Giga akiongoza kikao cha 43 cha Mkutano
wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 07, 2017.
Naibu Waziri Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabula akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 41 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Juni 5, 2017.
Naibu Waziri Wizara ya Fedha na
Mipango Mhe. Dk Ashatu Kijaji akijibu maswali mbalimbali ya wabunge
katika kikao cha 43 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma
Juni 7, 2017.
Naibu Waziri
wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt, Medard Kalemani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao
cha 43 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 7, 2017.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Prof Makame Mbarawa akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao
cha 43 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Juni 7, 2017.
Waziri wa Mambo
ya Ndani, Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde katika kikao cha 43 cha
Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 7, 2017.
Mbunge wa Kigamboni (CCM), Dk Faustine Ndugulile akiuliza swali katika kikao
cha 43 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 7, 2017.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk
Philip Mpango akizungumza jambo na Waziri
wa Maji na Umwagiliaji, Mhe.Gerson Lwenge katika kikao cha 43 cha Mkutano wa Saba
wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 7, 2017.
COMMENTS