Watoto wa Shule ya Santhome ya Mjini Dodoma wakiongoza watoto wenzao kutoka shule mbalimbali za mji wa Dodoma kuelekea viwanja v...
Watoto
wa Shule ya Santhome ya Mjini Dodoma wakiongoza watoto wenzao kutoka
shule mbalimbali za mji wa Dodoma kuelekea viwanja vya Nyerere Square
kushiriki uzinduzi wa maonesho ya Wiki ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo
kilele chake ni tarehe siku 16 juni mwaka huu.
Kilanja
Mkuu wa Shule ya Santhome ya Mjini Dodoma Martha Linje akiongoza watoto
wenzake kutoka shule mbalimbali za mjini Dodoma kuelekea viwanja vya
Nyerere Square kushiriki uzinduzi wa maonesho ya Wiki ya Siku ya Mtoto
wa Afrika ambayo kilele chake ni tarehe siku 16 juni mwaka huu.
Baadhi
ya watoto kutoka shule za msingi mjini Dodoma wakiwa na mabango ya
kupinga ukatili dhidi ya watoto kuelekea viwanja vya Nyerere Square
kushiriki uzinduzi wa maonesho ya Wiki ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo
kilele chake ni tarehe siku 16 juni mwaka huu.
Mkurugenzi
wa Watoto kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na
Watoto pamoja na Mbunge viti maalumu ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati
wa uzinduzi wa Maonesho ya Siku ya Mtoto wa Afrika wakipata maelekezo
kutoka Maofisa wa Plan International hawapo pichani mara baada ya
kutembelea mabanda ya maonesho hayo.
COMMENTS