TGGA YATOA SOMO JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KISARAWE

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe, Mtera Mwampamba (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Kamishna wa Chama cha Tanzania Girl Guides (TGG...


 Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe, Mtera Mwampamba (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Kamishna wa Chama cha Tanzania Girl Guides (TGGA) Makao Makuu, Rose  Majuva kuhusu kazi zinazofanywa na chama hicho ikiwemo kuwapa uwezo wanawake wa kujitambua na kujiamini alipokwenda kuzindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi wilayani humo.



Majuva aliwaasa wanawaje kuacha kutumia mikopo ya benki kuchezea ngoma bali waitumie kujiendeleza kibiashara na kuwa na tabia ya kulipa kwa wakati mikopo hiyo. Pia aliwaeleza mbinu mbalimbali za kufanya biashara na miiko yake. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDAKAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Wananchi wakisikiiza kwa makini maelezo kutoka kwa Mkufunzi wa TGGA, Valentina Gonza jijsi ya kutengeneza jiko la kutumia mwanga wa jua kupikia vyakula mbalimbali kwa gharama nafuu wakati wa maonesho yaliyofanyika wakati wa uzinduzi wa jukwaa hilo mjini Kisarawe.



 Girl Guides wa TGGA, wakitengeneza Green House ya kupanda matunda na mbogamboga majumbani waliposhiriki uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi wilayani Kisarawe. Kutoka kushoto ni Rachel Baganyire kutoka Uganda, Michelle kutoka Rwanda na Happy Mshana wa Makao Makuu ya TGGA, Dar es Salaam.

 Kamishna wa Makao Makuu ya TGGA, Rose Majuva (kulia) akisoma maadili ya kiongozi anavyotakiwa awe wakati wa uchaguzi wa viongozi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Wilaya ya Kisarawe.

 Mkufunzi wa TGGA, Makao Makuu Dar es Salaam, Ruth Namatanga akigawa karatasi ya kupigia kura kwa Wajasiriamali wakati wa uchaguzi wa viongozi wa Jukwaa hilo.

 Mkufunzi wa TGGA, Makao Makuu Dar es Salaam,Rehema Kijazi akigawa karatasi ya kupigia kura kwa Wajasiriamali wakati wa uchaguzi wa viongozi wa Jukwaa hilo.

 Mkufunzi wa TGGA, Makao Makuu Dar es Salaam, Valentina Gonza akigawa karatasi ya kupigia kura kwa Wajasiriamali wakati wa uchaguzi wa viongozi wa Jukwaa hilo.

 Mkufunzi wa TGGA, Makao Makuu Dar es Salaam, Ruth Namatanga akikusanya kura kwa Wajasiriamali wakati wa uchaguzi wa viongozi wa Jukwaa hilo.

 Baadhi ya viongozi wa TGGA wakihesabu kura wakati wa uchaguzi huo

 Viongozi wa TGGA wakiwa kwenye banda lao wakati wa maonesho yaliyofanyika wakati wa uzinduzi wa Jukwaa hilo mjini Kisarawe

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe, Mtera Mwampamba (kulia),  akiangalia kiroba cha mkaa uliotengenezwa kiasili kwa kutumia taka mbalimbali alipokuwa akitembelea  mabanda ya wajasiriamali kabla ya kuzindua Jukwaa hilo. Kushoto ni Gifti Mbaraka wa banda hilo la Vijana Wasiriamali Wakulima Kisarawe. Katikati ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kisarawe, Mussa Gama.

 Mwampamba akiangalia bidhaa mbalimbali za wajasiriamali

 Girl Guides kutoka Madagascar akijitambulisha wakati wa mkutano wa Jukwaa hilo. Kutoka kulia ni Rachel Baganyire kutoka Uganda na Michelle kutoka Rwanda. Vijana hao wapo nchini kwa miezi sita katika programu ya kubadilishana uozefu katika masuala ya utamaduni, uongozi na ujasiriamali

Mkufunzi kutoka Makao Makuu ta TGGA, Happy Mshana akielezea jinsi alivyopata uzoefu alipoiwakilisha TGGA kwenye mafunzo ya kubadilisha uzoefu nchini Madagascar

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: TGGA YATOA SOMO JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KISARAWE
TGGA YATOA SOMO JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI KISARAWE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYQbc5d8nBGy0T66Gfq5GLkoV8cOItE5-w-Tm_t6WaKPn-d905QlJEhQjpslxbrS_OIxEEVYupG5abL8hrWZVMX0TxX6ETutTVY3BA6IXUOUmllqfuLA4sT-BP_vrVOSdL73vFtOdDBwgL/s640/01.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYQbc5d8nBGy0T66Gfq5GLkoV8cOItE5-w-Tm_t6WaKPn-d905QlJEhQjpslxbrS_OIxEEVYupG5abL8hrWZVMX0TxX6ETutTVY3BA6IXUOUmllqfuLA4sT-BP_vrVOSdL73vFtOdDBwgL/s72-c/01.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/tgga-yatoa-somo-jukwaa-la-uwezeshaji.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/tgga-yatoa-somo-jukwaa-la-uwezeshaji.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy